Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,765
- 61,404
Kwa mfano kwa sasa watu na viumbe vyote hapa duniani wasizaliane,baada ya miaka mia moja (100) kutakuwa na binadamu/viumbe wangapi?
ha ha ha ha mkuu utakuwepo?Jibu
Kwani sasa hivi wapo wangapi hao viumbe?Kwa mfano kwa sasa watu na viumbe vyote hapa duniani wasizaliane,baada ya miaka mia moja (100) kutakuwa na binadamu/viumbe wangapi?
Wengi sana mkuuKwani sasa hivi wapo wangapi hao viumbe?
watakuwa wengi mkuu hiyo sana tutaiondoa ikitimia hiyo miaka mia moja bila viumbe kuzaliana.Wengi sana mkuu
ha ha ha ha mkuu utakuwepo?watakuwa wengi mkuu hiyo sana tutaiondoa ikitimia hiyo miaka mia moja bila viumbe kuzaliana.
😂😂😂😂😂😂😂
Hii post ni lugha gongana
Hao binadamu watakuwa na miaka mingapi?Binadamu watakjwepo na viumbe ila idadi hatujui
Hao binadamu watakuwa na miaka mingapi?
ha ha ha wewe utakuwa na miaka mingapiSasa si ujumlishe upate jibu we vp
Mtu aliye na umri wa mwaka 1atakuwa na 81 viumbe xx sizani kuwepoHao binadamu watakuwa na miaka mingapi?
Jaribu kufikiri zaidiNikupe mji mkuu me jibu sina
kwa nini 81?Mtu aliye na umri wa mwaka 1atakuwa na 81 viumbe xx sizani kuwepo