Recent content by olengayi

  1. O

    Maswali magumu shambulizi dhidi ya Mbunge Nassari

    Hayo maswali kamuulize chakubanga
  2. O

    Wabunge wa Canada wampongeza Rais Magufuli. Wasema ni miongoni mwa Marais wachache duniani

    Vijana wa Lumumba kutoka chama chakavu ,hahaha propaganda za vichwa panzi Sent using Jamii Forums mobile app
  3. O

    Jakaya Kikwete: Nanenepa siku hizi, mlikuwa mnanifuja!

    Huyu mzee maisha bora kwa kila mtanzania tumeyaona baba , mungu akuzidishie maisha mema yenye baraka tele Sent using Jamii Forums mobile app
  4. O

    Jakaya Kikwete: Nanenepa siku hizi, mlikuwa mnanifuja!

    Mzee jk tumekumisi sana , mzee tumepata mafanikio ukiwa madarakani, tunataka badilisha katiba ili ugombee tena , we are missing u dady Sent using Jamii Forums mobile app
  5. O

    Nimeambiwa nibadili dini la sivyo sipati mke

    Mbona mlivyo anza kwichikwichi hujaomba ushauri? Mbona unaenda kigoma hujaomba ushauri? Mbona unampa mimba hujaomba ushauri? Shame on u guy Sent using Jamii Forums mobile app
  6. O

    Jamal Malinzi ni kitu gani umekisahau pale Karume hadi ugombee tena ?

    Malinzi hajafikia nusu ya tenga ,aende akasimamie gofu
  7. O

    Kibiti, Pwani: Ujumbe wa kuua polisi zaidi wazidisha hofu

    Mungu saidia kibiti na rufiji kama ulivyo msaidia Paulo na sila kutoka gerezani
  8. O

    Pwani: Askari Wawili wa Usalama Barabarani wauawa kwa kupigwa risasi Kibiti

    Inauma sana lazima tumuinge mkono raisi magufuli katika hili ili tunusuru watanzania wenzetu wanaouwawa bila sababu , mungu ulisema ya kwamba madui watakopo inuka watateleza na kuanguka ,sasa mungu hawa watu wachache wanao uwa watu kibiti waangamize
  9. O

    Magaidi wanachafua dini

    Waislamu mtusaidie mungu aliagiza hivi
  10. O

    Wanaoijua vema Cresta gx 100 vvti

    Safari ndefu haili mafuta hata kidogo Mimi natoka nalo arusha mpaka dar mpaka mbeya utaipenda mwenyewe barabarani ,Mimi ninalo nauza mil nne keshi kama unataka nivue au tuwasiliane
  11. O

    Ridhiwani ahoji Serikali kujitapa uchumi kukua wakati wananchi hawana maisha bora

    Congratulations rizi one ,maisha yapo tight tunamkumbuka mzee jk tulikula na kusaza,tulijenga,tulinawiri,ila kwa sasa mlo ni mmoja
  12. O

    ‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

    Kiukweli s/Sudan sehemu zingine haipo stable kwa upande wa security ila biashara no nzuri sana mtu asikudanganye ,chakula, nguo, electronics, na zingine ni nzuri kuliko hata hapo kariakoo huku tunatumia dola tu
  13. O

    Mbunge atakayeingia Kamati ya kuichunguza TISS atakuwa amejiteka mwenyewe

    Huyu anadanganya kwa mahaba yake, kama wanachukua watu cream basi tusingekuwa huku na Mimi ningekuwa shushu, kuwa shushu ni majaliwa ya mwenyenzi mungu
  14. O

    CHADEMA Inahitaji Reformation haraka kuweza kum-catch Magufuli!!!

    Jamani msimshangae ametokea lumumba street,
  15. O

    AY: Hakuna Rapa mkali Tanzania zaidi ya Joh Makini

    Iceman, joh makini anabebwa? Ebu tupe vigezo vyako
Back
Top Bottom