Usimuhusishe Mungu na vitu vya kijingaMbona hilo liko wazi utawala mpaka wa mungu unajua kuwa magufuli anafanya kazi nzuri ni wachache fulani tu wanampinga kwa kutumia migongo ya wanasheria na wanasiasa..jambo la kufurahisha magufuli anajua yote na yuko makini sana ..pambano la ubaya na wema litaisha kwa magu kushinda