Chama cha mizigo (ccm),tangu waibe kura na kuingia madarakan,waliahid maisha bora kwa kila mtanzania.kinyume chake,chama hichi kimegeuka cha kukamata watu na kuwatesa,hata kuwaua,kimekua cha wizi na kukamua watz hasa kupitia kodi tunayolipa. Hapo jana tu,bunge la maccm limepitisha kuwa...