Sawa wewe mwenye ambition ya kubeba majungu ya Mama Josephine Mushumbuzi aka Mwenza wa Dr Slaa na kujikweza kwako kujifanya unjua siasa huku utaalamu pekee ulio nao ni kubeba majungu na kuyasambaza kwa ajili ya nafasi. Mwenzio najua umuhimu wa kujifunza na kujishusha na pia sina ulimbukeni wa nafasi kwani maisha yangu yamekuwa ya nafasi nyingi tu ambazo sina haja ya kujigamba nazo lakini niko tayari kujigamba na nafasi za kubeba mafaili na kuelimika kwa wenye elimu, uzoefu na heshima na sio kwa ajili ya nafasi tu kama wewe. Naona udini na mkabila unakuwa mbaya tu pale ambapo unatuhumiwa lakini ni assent pale unapotumika kujijenga... hilo sio tatizo lako pekee, ni tatizo la kibinadamu ambalo kwa wenye akili fupi wanaweza kudhani ni ukawaida wa binadamu lakini ukijengeka kwa fikra ambazo zinapatikana kwa kuwabebea mafail wenye upeo wa juu, huwezi kukubaliana na ukawaida huo na utakuwa tayari kuupiga vita hata pale ambapo unakusaidia wewe. Mdogo wangu Ben ambaye sikujui hata kwa sura, jifunze kujishusha kunalipa, yawezekana sio kimaslahi lakini kifikra... ukombozi wa kifikra ndio hatua muhimu ya ukombozi wa kimaisha. Hata hivyo sikushangai sana maana trait yako ni ya kawaida kwa wenye kugubigwa na ulimbukeni uwe wa kimali au kinafasi, kunakufanya ujione ni muhimu sana ndani ya CHADEMA wakati umuhimu wako unaishia katika kutumika tu tena na watu wasio na chembe ya integrity... Mimi sina ndoto za kuwa fulani, nina ndoto za kuchangia kubadili nchi yangu kufanikisha ujenzi wa Tanzanianjema. Natambua kwako ni vigumu kuelewa hilo.
Kuniona kwa sura?Sijawahi kutamani hata kufahamiana na wewe kwa fikra hizi za kijima ulizoonyesha.Kuna haja gani ya kufahamiana na mtu mwenye fikra za kale karne hii ya sayansi na teknolojia wakati kama ni mambo ya kale tunaweza kuyapata kwenye Museums au archives.I dont wish to meet a primitive chap like you.Nimeshasema ungekua kaka yangu wa damu niliyezaliwa naye ungekua umeniweka katika wakati mgumu sana mimi kama "mdogo wako" (Kama unavyopenda kujinadi) hapa jukwaani
Unaona fahari sana kuniita mdogo wako lakini kwangu ni fedheha kuitwa mdogo wako kwa mtu mwenye fikra duni kama ulizoonyesha hapa hasa fikra za ubaguzi wa kidini na kikabila ndani ya karne hii.
Omar,Ukaka sio vitisho bali ni upevu wa fikra.
Pili,Unasema Utaalamu pekee nilio nao ni wa majungu na blah blah blah ulizoongeza.Sina utaalamu huo labda wewe mwenye uwezo wa kutambua taaluma hiyo na vipaji hivyo
Waalimu wangu wanajua profession yangu.Sijawahi kutafuta namna yoyote ya kubebwa popote.Ninajiamini na nina broad knowledge and experience.Huyo Rafiki yako kipenzi anajua.
Tatu,Kujishusha:Sipo tayari kujishusha na kurudi karne na enzi za ujima.Sipo tayari kupiga magoti kwa wanafiki na wasaliti .Hata mitume na manabii hawajawahi kujishusha mbele ya shetani pamoja na wema wao wote
Nne,Fikra:Huwezi kuwa na moral authority ya kujadili dhana ya mabadiliko ya kifikra au ukombozi ikiwa bado unakaza minyororo ya ubaguzi wa kidini na kikabila.Acha unafiki.
Ndoto za kubadili nchi unatumia njia zipi?Huu ukabila na udini ambao kila mtu anauona hapa?Ndio tunabadili nchi hivyo?
Guys,You need to grow up.You are just a tall guy.Komaa kifikra ili ujikweze na kupata haki ya kuniita 'Mdogo Wangu Ben'.
Kwa umri ulio nao bado unaingia kwenye mitego ya kumjadili Josephine na status yake kama ''Mwenza".Hii ndio strateggy ya kubadili nchi hivi?
Dr.Salim anaheshimika sana.Please,Stop this nonesense.Behave maturely and professionally.
Yaani wewe ndio mbeba mafaili unayejisifu hapa wakati huna chochote unacho-gain kifikra kwa unayembebea mafaili?Hata ikishindikana basi ungesoma hata paper alizotupa kwenye dust bin upate ABCD.
Ungekua illiterate usiyejua hata kusoma ungeeleweka lakini mtu unayemudu hata kuingia JF unanyesha kabisa you're out of touch with reality.
By the way,Siwezi kuwa limbukeni kama unavyodhani maana hujui background yangu.You're so paranoid! Getta fresh air bro!