safi team zito tupo naww kamanda
Albert Msando anatafuta umaarufu huyu, kuna kesi yangu alishindwa mpaka nikaishift kwa Advocate Materu
dogo atapoe vibaya sanaaaa, ataongea kama wakili lakini atatafisiliwa kama naye ni msariti na udiwani wake utakuwa na tabu sanaa, ushaur wajibu kamati kuu kwa maelezo sio wahandishi wa habar kwani aitasaidia kabisa ata walichoongoa kipindi kile kimeshapotea masikioni mwa watu.
....Mkuu Mungi wamepima upepo wa Kigoma!!!
Tumia hekima huu uzi hauna mahusiano ya hoja zako. Kwa nini usizipeleke kwenye uzi husika.
Wakuu, nimetumiwa mwaliko huu wa uwepo wa mkutano na waandishi na wahariri kesho saa nne na nusu pale serena. ningependa nasi sote tuitikie wito huu kwa kuarifiana juu ya tukio hilo.
zaidi soma Taarifa za mwaliko
Mwaliko wa Mkutano na Waandishi wa habari: Ndugu Albert Msando
MWANASHERIA wa Mhe Zitto Zuberi Kabwe (Mb), Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba, Ndugu Albert Msando, atazungumza na wahariri wa vyombo vya habari katika Hoteli ya Serena kuanzia saa nne na nusu asubuhi (saa 4.30 asubuhi).
Dhima ya mkutano huu itakuwa kutoa ufafafunuzi juu ya mashitaka 11 na majibu yake ambayo Mhe. Zitto Kabwe na washitakiwa wenzake walipewa na Kamati Kuu ya CHADEMA. Aidha, katika kikao hiki Ndugu Msando, kwa niaba ya wateja wake, ataeleza hatua ambazo wateja wake wanazichukua ndani ya chama katika kuhakikisha kwamba mgogoro uliopo unakwisha kwa amani na haraka iwezekanavyo bila kuleta athari zaidi kwa chama.
Tunatanguliza shukrani na tunaomba waalikwa wazingatie muda.
Imetolewa na Ofisi ya Mbunge Zitto Kabwe,
Jumanne, 10 Desemba 2013
Dar es Salaam
safi team zito tupo naww kamanda
Wakuu, nimetumiwa mwaliko huu wa uwepo wa mkutano na waandishi na wahariri kesho saa nne na nusu pale serena. ningependa nasi sote tuitikie wito huu kwa kuarifiana juu ya tukio hilo.
zaidi soma Taarifa za mwaliko
Mwaliko wa Mkutano na Waandishi wa habari: Ndugu Albert Msando
MWANASHERIA wa Mhe Zitto Zuberi Kabwe (Mb), Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba, Ndugu Albert Msando, atazungumza na wahariri wa vyombo vya habari katika Hoteli ya Serena kuanzia saa nne na nusu asubuhi (saa 4.30 asubuhi).
Dhima ya mkutano huu itakuwa kutoa ufafafunuzi juu ya mashitaka 11 na majibu yake ambayo Mhe. Zitto Kabwe na washitakiwa wenzake walipewa na Kamati Kuu ya CHADEMA. Aidha, katika kikao hiki Ndugu Msando, kwa niaba ya wateja wake, ataeleza hatua ambazo wateja wake wanazichukua ndani ya chama katika kuhakikisha kwamba mgogoro uliopo unakwisha kwa amani na haraka iwezekanavyo bila kuleta athari zaidi kwa chama.
Tunatanguliza shukrani na tunaomba waalikwa wazingatie muda.
Imetolewa na Ofisi ya Mbunge Zitto Kabwe,
Jumanne, 10 Desemba 2013
Dar es Salaam