Recent content by ojanga

  1. O

    University admission results updates (Matokeo ya udahili vyuoni)

    Nenda Ifm shule yao ni much better than nit
  2. O

    Single girls mko wapi? KIla ninayemtongoza anasema ana mtu

    Itaakuwa either haujawavutia katika hizo sehemu zote ulizotajaso check tabia yako na utanashato wako Ama itakuwa hizingatii umri
  3. O

    Zamaradi ambwaga Bosi wa Clouds, aolewa na mwanaume mwingine!!

    Huyo ni mtoto wa waziri mkuu ka kamata fursa
  4. O

    Bei ya Mahindi katika kila mkoa

    Maggu gunia 40000 Sent using Jamii Forums mobile app
  5. O

    Serikali iseme ukweli, ni wanasiasa gani wamekwenda Canada kuzuia ndege?

    Wewe unaendelea kuwa mweupe kabisa kichwani mwako na hutaki kuliona tatizo kwa mtukufu wako!!mikataba ina vunjwa kwa kufwata sheria sio kwa kuropoka hii ndo dhambi kuu inayoendelea kuntafuna mtukufu na matamko ya jukwani bila kufwata utaratibu wa kuvunja mikataba!! Angefanikiwa kwenda kwa...
  6. O

    RC Dar apiga marufuku watendaji walio chini yake kusafiri nje ya jiji bila kibali chake

    Haaa haa khaaa embu apeleke uko kama familia yangu ipo njee ya dar nisisafiri kisa nini sasa sinasafiri kwa mipunga yangu nloitolea jasho embu atuwachee uko kila weeekend fastjet ipo Sent using Jamii Forums mobile app
  7. O

    Siku ya kwanza chuo au shule

    Wewe ni Jipu wafaa utumbuliwe Sent using Jamii Forums mobile app
  8. O

    UDOM inaniandikia application pending, natakiwa kulipia tena?

    Thank you Sent using Jamii Forums mobile app
  9. O

    Ugali ni chakula kisicho na faida katika ubongo

    Izi zote products za mahindi Sent using Jamii Forums mobile app
  10. O

    DAR: Mkuu wa Mkoa atengua agizo la Polisi kuhusu kutoa 'tinted'

    Asante sana Mkuu wa Mkoa kwa kuliona hili walau tupumue!! Ila hii nchi kwa.matamko loooh!! Sent using Jamii Forums mobile app
  11. O

    Zamaradi Mketema na Ruge Mutahaba waanika mahusiano yao ya kimahaba

    I dont think it is right kwasababu hujawahi kuprove embu endelea kufanya utafiti mengine ni maneno ya watu tuu kila siku yapo..binafsi namfahamu kidogo huyu jamaaa na sinawasisi kama siyo riziki. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. O

    Mrembo aikosoa Serikali ya Awamu ya Tano

    Akili yako ni finyu mnooo nenda katafute profile ya Tausi ndo uje na huu upupu!jibu hoja kwa hoja hajaonvelea chadema embi soma kwa mara nyingine. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. O

    Q-NET Company "biashara mtandao" ni utapeli unaoenea kwa kasi Tanzania. Serikali mko wapi?

    Me nimejoin and i am getting paid each week ikifa nshapata pesa yangu nlowekesha.. if you want to join make sure your awere that your taking risk anything might happen
Back
Top Bottom