Bei ya Mahindi katika kila mkoa

Bei ya Mahindi katika kila mkoa

Sure! juzi tuu nimemtumia bmkubwa kachukua gunia mbili kwa 72000/=
Sehemu gani?
Afu mbona ueleweki mkuu Mara debe 16000/= mara gunia 72000/=
IPI ni sahihi?
Kwa kifupi mbeya hizo bei hazipo kwa sasa kama ulimtumia MTU basi kakupiga,kwa sasa hizo bei ni zipo kanda ya ziwa ambao hawakuvuna mahindi kabisa mkuu
 
Sehemu gani?
Afu mbona ueleweki mkuu Mara debe 16000/= mara gunia 72000/=
IPI ni sahihi?
Kwa kifupi mbeya hizo bei hazipo kwa sasa kama ulimtumia MTU basi kakupiga,kwa sasa hizo bei ni zipo kanda ya ziwa ambao hawakuvuna mahindi kabisa mkuu
Nilimaanisha gunia moja ni hadi 36000/= kwa gunia mbili ni around hiyo hapo 72,000/=..maeneo ya songwe, mbozi nk
 
Kuna app. ya idara ya masoko inaitwa One2TwoLite inawekwa taarifa za masoko.Ipo app store. Lakini sina uhakika wa update zake.
 
Naomba kujuzwa bei ya sasa ikoje mikoa mbalimbali. Natafuta soko, nina gunia zaidi ya 200 zipo Iringa.
 
30,000 - 35,000 Mkuu, hapa kwa Mkulima inakata. Natafuta soko la nje ya mkoa huu kwa bei angalau kuanzia 65,000/-
Hapa Tanzania hakuna hiyo bei labda upeleke nchi za nje.
 
Wajumbe tupeane tena updates za bei za mahindi mana kuna watu wanasema bei zimeshashuka mfano Mbeya ndoo ya lita 20 ni 12,000
Ni elfu 5000 kw 6000 Mkuu ukihitaji njoo TDM kiasi chochote unacho hitaji .au piga cm soko la kimataifa lipo Mwaka
 
30,000 - 35,000 Mkuu, hapa kwa Mkulima inakata. Natafuta soko la nje ya mkoa huu kwa bei angalau kuanzia 65,000/-
Kuanzia chalinze hadi DSM kilo ya mahindi inacheza kwenye 400/= - 450/=. Binafsi nasubiria walau bei ya gunia igonge 50,000/=
Misimu iliyopita nilikua nayauzia shambani msoga gunia moja kwa 60,000/= hadi 70,000/=
 
Back
Top Bottom