Opera Min
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 890
- 658
Kuna kampuni moja inaitwa Qnet ni kampuni tanzu ya Qi company,ni biashara ya mtandao makao yake makuu yapo Hong kong,wana deal na kuuza saa,vifaa tiba n.k.
ni hivi wanashawishi watu wakope na wanunue bidhaa mtandaoni km saa n.k kwa bei kubwa km milioni 5 then automatically unakua umeshakua member then unaambiwa utafute watu kadhaa nao wanunue bidhaa ili upate kamisheni cha ajabu ni kua hta km huna hela watatumia mbinu zote za kiulaghai kwamba utapata zaidi ya milioni 10 as a kamisheni kila mwezi na maisha yko yatakua mazuri ndani ya muda mfupi sasa na njaa zetu hizi ukipiga picha m10 kila mwezi unaweza kuingia mkenge .
Hii kampuni ilishapigwa marufuku kwa "fraud" nchi kibao kama India,australia n.k.hivi sasa hapa bongo ndo imeshika kasi na ofisi zao zipo hpa kinondoni Studio. serikali mko wapi?
kwa jinsi walivyo wajanja hpa walipoweka ofisi yao huwezi jua kinachoendelea humo ndani utaona tu watu wanaingia na kutoka ukiuliza kuna nini humo ndani huwezi ambiwa,nimejaribu kunyapia nyapia mpaka nimefanikiwa kuingia na kufanyiwa semina ndo nikagundua hawa ni matapeli.
Maisha magumu yasitufanye tuwe wepesi wa kuamini visivyo aminika.
ni hivi wanashawishi watu wakope na wanunue bidhaa mtandaoni km saa n.k kwa bei kubwa km milioni 5 then automatically unakua umeshakua member then unaambiwa utafute watu kadhaa nao wanunue bidhaa ili upate kamisheni cha ajabu ni kua hta km huna hela watatumia mbinu zote za kiulaghai kwamba utapata zaidi ya milioni 10 as a kamisheni kila mwezi na maisha yko yatakua mazuri ndani ya muda mfupi sasa na njaa zetu hizi ukipiga picha m10 kila mwezi unaweza kuingia mkenge .
Hii kampuni ilishapigwa marufuku kwa "fraud" nchi kibao kama India,australia n.k.hivi sasa hapa bongo ndo imeshika kasi na ofisi zao zipo hpa kinondoni Studio. serikali mko wapi?
kwa jinsi walivyo wajanja hpa walipoweka ofisi yao huwezi jua kinachoendelea humo ndani utaona tu watu wanaingia na kutoka ukiuliza kuna nini humo ndani huwezi ambiwa,nimejaribu kunyapia nyapia mpaka nimefanikiwa kuingia na kufanyiwa semina ndo nikagundua hawa ni matapeli.
Maisha magumu yasitufanye tuwe wepesi wa kuamini visivyo aminika.