Recent content by obedson

  1. O

    Dar Free Market (DFM): Mmoja aliyedaiwa kuwa Jambazi auawa na Polisi kwa risasi

    Dah we jamaa mgumu sana kuelewa. Rejea post kaandika kirefu cha DFM na kifupi chake
  2. O

    Kanisa gani lina huduma nzuri ya maombezi Mwanza?

    Habarini za jioni? Naulizia ni kanisa gani zuri kwa maombezi Mwanza? nina mdogo wangu anasumbuliwa na mapepo nahitaji huduma ya maombezi. Natanguliza shukurani.
  3. O

    Lissu anyimwa Dhamana, kupelekwa mahakamani kesho

    Duh kama hii habari haijaka sawa. Iweke vzr
  4. O

    Tatizo la kuhamisha pesa kutoka M-pesa kwenda CRDB

    Hilo tatizo lipo sana ila nilikuja kugundua wenye tatizo ni vodacom maana ukifanya muamala kwenda mitandao mingine unafanyika ndani ya sekunde 30. Nimejaribu mara nyingi unakuta wanakuambia kuna tatizo kati ya m-pesa other ila muda ule ule ukijaribu tigo pesa au airtel money inakubali
  5. O

    Mjue Mwanamke wa kwanza kufanya kazi Mochuari

    Halafu mleta maada unapotosha watu. Hii makala ilitolewa kwenye gazeti la nipashe huyo ni mwanafunzi yupo kwenye mafunzo ya vitendo.
  6. O

    Hivi huyu binti wa mama mwenye nyumba ananitakia nini?

    Kuna mtu alishawahi kupost kitu kama hiki. Naona huyu ameamua kupaste tu
  7. O

    Sijui kukata kiuno kumridhisha mume wangu

    Duh, utakuwa kikongwe then unasingizia hujui kutumia jf. Kwani birth date kwenye jf inaulizwa kirumi? Au miaka 23 unataka urelate kwamba huna experience ya mapenzi?
  8. O

    Microsoft Engineering na Computer Engineering

    Kuna microsoft certified engineer MCSE, ukifaulu mitihani yake unakuwa expert katika windows server platform unaetambulika duniani. Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
  9. O

    Naombeni ushauri katika hili

    Kumbe ana mimba? I don't think kama ana matatizo ni hali ya muda tu itaisha, nothing to worry Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
  10. O

    Ebu niambie unapoona hii kitu unamkumbuka nani katika mahusiano

    Duh, kuna vitu vingi vinagusa hisia zangu, kuwahi namba, kushindana kuwa wa kwanza class, mkipewa majibu ya mtihani mnajumlisha kabla ya matokeo na mnakuwa mnajua nani wa kwanza, kuchungulia mademu wakati wanakojoa au kuweka kioo chini ili uone demu kavaa chupi gani, kuna jamaa mmoja alikuwa...
Back
Top Bottom