Naombeni ushauri katika hili

Naombeni ushauri katika hili

Hayo maamuzi mepesi ndio maana nimekuja kwenu wana jf ili kama inawezekana mnisaidie mawazo. Maana ningekimbia wengine wangesema nimewatelekeza.
 
Mi nakupa pole tu maana waliotangulia wameshamaliza.
 
mkuu kwanza nimependa ID yako.
back 2 d topic kama wadau wengne walivoshauri, hakuna mke hapo, but i wonder 4 years + one child still kwao hufahamiki, how comes? but take the later as an advantage as long as kwao hawakutambui angalia ustarabu mwingne ili mradi tayari ana damu yako atakutafuta kwa masuala ya mtoto, ila usije rogwa ukahararisha
 
Herera, it doesn't mean kuwa kwao hawajui kuwa mimi nina mahusiano na binti yao bt sijaenda huko rasmi
 
Hakupendi huyo, yupo na ww ili ku fulfill dreams zake, mwogope kama ukoma, sio mke wa kuoa.
 
Me naona umekosa maamuzi yakiume,ni wakati wakuwa mwanaume acha uvulana....
 
Kwanza pole sana pili usije ukajikuta ulipoteza mwez ukiwa busy kuhesabu nyota wakat ndio huu amka sasa na kufanya maamuzi sahihi huyo sababu amekuzalia mtoto ndio maana ni kiburi namna hiyo
 
Nina miaka 28 kwasasa, ni university graduate na nimeajiriwa serikalini. Nina mwanamke ambaye bado hatujafunga ndoa lakini pia bado hata nyumbani kwao sijajitambulisha. Naye pia ni graduate na yupo kazini pia. Umri wake ni 25yrs, kwa ufupi tulikutana chuoni na tuna miaka kama minne hivi and we have been blessed with a lovely and precious daughter aged 3yrs now. Ok kilichosababisha niandike uzi huu ni kutokana na anayonifanyia huyu mwenzangu, kwa kipindi chote hicho its only 3 months labda ndio nilienjoy mapenzi naye.

1. Haishi kunitukana matusi ambayo yameenda beyond hata kuhusisha wazazi wangu.

2. Alishanitishia nikicheza ataniua kisirisiri au anifanye msukule, nilijipa moyo haiwezekani.

3. Kila ninachonunua anasema ni chetu hata kama hajui nimenunuaje mfano nimenunua uwanja na nishaanza kujenga, sijawahi kumuonesha ila niliwahi kumwambia kuwa nina mipango hiyo surprisingly hajigusi kuhusu hilo lakini kila siku anasema nyumba yetu ikiisha sijui atanya hivi mara vile.

4. Yupo busy na simu yake mara whatsapp sijui FB hata kama ni usiku. Tatizo nikijaribu kuwa busy na simu yangu analeta ugomvi.

5. Pesa zake hataki nijue anafanyia nini wala nisiulize. Kwani nikuliza ni ugomvi.

6. Habari za wazazi wangu hataki kuzisikia kabisa.

7. Kubwa zaidi ilishafika siku akanitemea hadi mate mbele ya wadogo zangu wa kike.

8. Nanii yenyewe napewa kwa masharti mpaka siku apende yeye.

9. Akijua nina pesa anataka mpaka iishe ndio aridhike. Note. Bado sijamuoa rasmi and regardless of all these anasisitiza nimvishe pete ya uchumba na nyumbani kwao niende.

Real nimepata hofu na sina hamu ya kumuoa sababu nahisi she is hunting marriage coz topic kubwa kwake ni ndoa hasa anapoona rafiki zake wamepost may be engaged au wedding pictures.

Kwa haya yote natamani kuachana naye lakini hataki kusikia hilo. Mind u, for the whole time i have been playing role kama baba na mama yake.

Naombeni ushauri wana Jf nifanyeje? Moyo umekufa sina hamu ya mapenzi kwa haya yote na mengine mengi na sioni kama ninaweza kufurahia mapenzi tena.

Ushauri wangu ni huu: Muoe haraka sana huyo ni mke mwema katoka kwa bwana!
 
Pig chini. Tutazungusha maneno wee lakini hiyo nduyo conclusion
 
Unbelievable khs dogo sina shaka coz nilishampeleka kwa wazazi na walikubali ni wangu. Thats why iam confident of my daughter. Isitoshe haya majanga yalianza baada ya kuwa mjamzito tuu.
Kumbe ana mimba? I don't think kama ana matatizo ni hali ya muda tu itaisha, nothing to worry


Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Hata Wasioweza Hudharau!


'Hata Chura Anapenda Maji Lakini Si Yamoto'
 
Watu huwa mnasali ili Mungu awaoneshe njia. Mungu kakufunulia,bado unataka ushauri.

Hakuna mke hapo mkuu.
 
Back
Top Bottom