kweli kabisa nakuunga mkono, npo njiani natokea kagera-bukoba naenda dom kwa private car. kweli bukoba to dar ni mbali sana aisee, yaan unatumia 2 days ndio unafika dar, hebu idara ya utumishi wa umma walitizame hili kwa fikra mpya. wawe wanafanya kama jeshi la police, mtu afanye usaili kutokana...
Baadhi ya Ma HR wa hapa Tanzania hawana akili timamu wanafikiri wanatenda haki kumbe wanaharibu rasilimali za taifa. HR department nyingi zina utindio wa ubongo alafu utawakuta wapo madirishani wanachungulia na vicheko vya kejeli
Sitosahau ewe kiumbe, tuliachana kisa nmekuambia naimba kwaya mda wa usiku. Saa mbili mpaka saa nne, niliporomoshewa matusi ambayo sitaki hata kuyakumbuka maana!. Wanaume tuna kazi sana! all the best popote ulipo
Kweli Warangi ni wazuri, lakini sijui umeangalia kigezo gani?. Kumbe warangi ni wazuri! Nenda Dom km kigez chako ni weupe na uzuri basi utaoa wengi, pole sana ndg yangu!
Wale waliochaguliwa Ulayasi-Ludewa kama hupajui na unahitaji kujua zaidi please ni PM nikudodose mijimamboz. Pia Mungu kamuona mdogo wangu maana nae kachaguliwa kwenda hapohapo CBG.
Wabunge ndio wanaoangamiza nchi: Inakuaje kila M-bunge anatarajia kulipwa Mil "238" kama kiinua mgongo ndani ya miaka mitano aliyotumikia bunge. hawa wabunge takribani "365" wakilipwa hizo pesa kwa kila mmoja, hii inchi itatulia kweli?. Hii inchi yetu inahitaji Mungu atoke mbinguni moja kwa moja...
Hilo neno "BIKRA" wanawake wengi wanalitumia tofauti na ipasavyo. Kuwa makini ndugu yangu: mm nmewahi kuambiwa hivyo na watu km wawili lakini baada ya tukio nikaja gundua kuwa nmeuziwa mbuzi kwenye gunia. Wadada wa mjini ni wajanja sana, kama hawajazaa huwa wanadai kuwa wao ni BIKRA. Yaani...
utaniambiaje mm ambae nimeandikiwa neno First interview kwenye nafasi ya Planning officer (IRDP) pamoja na Marketing Officer lakini sijaitwa kwenye written interview. Jina langu halipo na hawa watu wanaenda kufanya interview huko. Kumbuka nmekuambia nmeandikiwa first interview lakini wenzangu...
Kwaniaba ya walio comment wote: Nawashukuru sana kwa kunifungua macho nami nitawasilisha kwa muhusika kama mitazamo na uzoefu wa watu mbalimbali ulivyo wakutia na maamuzi walivyoyachukua. Mwenye namba niliyoweka huko juu ndio mhusika mkuu, nilijaribu kumuweka wazi nikaona hanielewi so nikaamua...
Nahitaji kujua mawasilano ya mke wangu yanayofanyika kwenye simu yake ya mkononi, yaani akitumiwa message kwenye simu yake iingie na kwenye simu yangu, pia akipigiwa simu na mtu mwngne simu iweze kuita na kwangu ila nisiweze kuipokea na atakapoipokea akianza mazungumzo na aliyempigia simu nami...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.