Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,381
Unamshauri atende uovu...ama hakika akirogwa uchawi utakufuata na wewe.
Akili zenu nyote sawa...hivi mtu akisema KUNA WATU WANAVICHWA UKUBWA WA BESENI LAKINI AKILI NI TONE anakosea??
Hahaha! Inategemea! Kwa hiyo hukuona kuwa Preta alikuwa anamchuuza jamaa? Hukuona kuwa Nimehoji kauli yake?