Hii hatari: Watu 3034 nafasi 4, interview ya LAPF

Hii hatari: Watu 3034 nafasi 4, interview ya LAPF

Kwanza ni maada ambayo hata haistahili kuleta Thread ni uzembe tuu wa Moderators
 
your very wackiest person... fake for real... wewe ulienda kupiga picha hapo au unafiki.. wewe si umepiga interview wewe.. unaongea nini hapaa... wewe unamawazo mgandooo zaidi yaoooo na pia ni mnafikiiii sanaaa... unaenda piga pichaaa watuuu jipige wewe kwakuwa ulikuwepo alafu weka hayooo maelezooo yakooo..... FOR THE NIGGAS WHO TALKING SH*T AND HOLD BACK HIS D*CK HE BETTER LAY LOW.... Coward man hide behind the phone and talking shit.. snitching around like man but your fake man.. ulikukwenda kufanya interview au kusnitch...
 
Shame on you Graduates..
Kabla ya kuanza kuilamua Nchi , ivi nyie Graduate kwann bado mna mawazo mgando saana ... huu utitiri wote unasababishwa na vichwa vyenu kujiiandaa kuajiriwa kuliko kujiajiri .

Hii hatari , nauona Uzembe wa Wahitimu ndipo baadae nitaailamu serikali
your very wackiest person... fake for real... wewe ulienda kupiga picha hapo au unafiki.. wewe si umepiga interview wewe.. unaongea nini hapaa... wewe unamawazo mgandooo zaidi yaoooo na pia ni mnafikiiii sanaaa... unaenda piga pichaaa watuuu jipige wewe kwakuwa ulikuwepo alafu weka hayooo maelezooo yakooo..... FOR THE NIGGAS WHO TALKING SH*T AND HOLD BACK HIS D*CK HE BETTER LAY LOW.... Coward man hide behind the phone and talking shit.. snitching around like man but your fake man.. ulikukwenda kufanya interview au kusnitch...
 
Huyo mwenye red sandals, kashika pen ni shangazi yangu kabisa na humu JF yumo, akiiona picha ake cjui atajifeel vp.

Aisee kazi kweli kweli. Huyu mleta mada kama kafanikiwa kulikua kuna haja gani kuwapiga picha.
 
Tatizo ni hawa maHR wa kibongo.

Mkuu umegusa pale pale.. Hapa ndio kwenye tatizo, iweje HRs mkubali kuwaita watu wote hao kwenye mchujo? Kwa nini msingechuja mapema bila kuwaita kwa kutumia vigezo vyenu nakupata shortlist.?
 
Hamna hao HR wapo sahihi,kama wote mnakidhi vigezo hata muwe 8000 mnaitwa tu ili mnyukane vzuri.
 
Shame on you Graduates..
Kabla ya kuanza kuilamua Nchi , ivi nyie Graduate kwann bado mna mawazo mgando saana ... huu utitiri wote unasababishwa na vichwa vyenu kujiiandaa kuajiriwa kuliko kujiajiri .

Hii hatari , nauona Uzembe wa Wahitimu ndipo baadae nitaailamu serikali

Unashangaa wingi wa watu? wewe wa wapi mkuu! kila aliyeitwa kwenye usahili maana yake amekidhi vigezo ulitaka uitwe peke yako na wale walio na vigezo kama wewe wasiitwe? then kumbuka kila mtu na bahati yake Ndorobooo weeeeee!
 
Mimi pia ni muhanga wa ajira ila nawapa pongezi ishu sio wingi wa watu je wamejipanga? ni dhahiri LAPF wamejipanga kuliko NSSF na PPF mfano: kukagua vyeti, mamluki walio zamia na kuja kufanyia watu kwa kuangalia passport size na sura ya muhusika, hata karatasi zamaswali na majibu watu wame bandika passport size kuepuka lawama hilo nalo hamlioni?

tukishindwa tuseme tumeshindwa tena kwa kufail coz hatuja jiandaa siyo kuwatupia watu lawama!
 
Ukijiajili utahitaji watu wa kukusaidia kazi inamaana utaajili sasa kama na wao wakigoma kuajiliwa utajiali vipi hii inaonyesha ni jinsi gani mtoa maada alivyokulupuka kutoa kashfa.
Mtoa mada anaweza kuwa sahihi au asiwe sahihi,tatizo si walioenda kwenye interview.Tatizo ni kampuni husika unajua wale uliosoma nao wale amabao hawakuwa serious wakishika makampuni haya ndiyo yanatokea.Huwezi ita watu watu 3034 kwa nafasi nne.Maana yake hiyo kazi haikuwa na vigezo?Je wote walikidhi vigezo?Ni uzembe tu watu hawataki kufanya majukumu yao.Labda kama wameita wote ili kuondoa kale kamsemo ambako job seeker wengi wanalalamika "nimeomba kweli hata kuitwa kwenye interview siitwi" kama wamefanya kwa sababu hii ok,otherwise wana matatizo.
Je kama kuna watu wametoka mkoani unadhani hapo kuna issue ya kwamba watarudishiwa nauri zao?
Mimi siwezi kuwalaumu graduates ni bora uwaambie walioko makazini ambao walau wamezichanga wafikirie kuanzisha kampuni/biashara ili watoe kazi kwa wasio na kazi.Tatizo hata walioko makazini wengi ni waoga so tuendelee tu.
 
Niliwahi kupiga tempo finca vigezo vya kuchukua mkopo uwe na biashara isiyohamishika,leseni ya biashara n TIN, biashara imedumu kwa mda usiopungua miezi 6 hapo bado dhamana utagundua taasisi za kifedha zimewalenga watu walikua na mali n si graduates hizi ndizo changamoto za kujadili na si kulaumu bila kuonyesha suluhu ya tatizo
 
Watu walioitwa kwenye ile interview data sahihi ni 3504, wengi hawakujua kama wameitwa nyomi kwani LAPF hawakutoa majina walipiga simu, basi kila mtu akaamini watakuwa wachache,
 
Mkiitwa wa chache mnaenda PCCB Mara rushwa sijui nn, mkiitwa wengi HR hayuko serious,hii nchi bana.
 
Baadhi ya Ma HR wa hapa Tanzania hawana akili timamu wanafikiri wanatenda haki kumbe wanaharibu rasilimali za taifa. HR department nyingi zina utindio wa ubongo alafu utawakuta wapo madirishani wanachungulia na vicheko vya kejeli
 
Dawa ni kuapply elimu yko katika mazingira na kukufua ndoto zako zilizozikwa baada ya ww kuamuliwa na baba yko ukasome chuo wakat haikuwa interest yko.... na wengi kinachotusibu na kusumbua akili ni maisha tunayoona watu waliojiliwa wakiishi . Maisha ni vita na mafaniko si kitu cha hv hv kinaitaji juhud, hisia na determination . Mfano mzuri ni hule wa yule kijana aliyefail mthan wa form mtaan kwako ama rafk yko na akapga moyo konde na kukubaliana na khali na naamin mpaka sasa ww graduate unavaa nguo zako za chuo wakat mwenzio anapgana kwa hali na mali kufikia lengo na keshakubaliana na khal halisi.
Yatupasa kutambua kama mwaka huu ilikuwa hvyo bas mwaka namba yake ni mara 3 au 4 ndipo hapo patakuwa patamu kuliko maeleZo .

Punguzene lawama na ushuleshule tuutizame ujasirimal kwa jicho la tatu

DUNIA UWAJA WA VITA
 
Back
Top Bottom