Mi mke wangu niliwah pia kumfanyia hvyo hvyo kwenye call record mwisho wa cku ikawa ugomvi mana nilijua kila hatua yake mjomba acha inauna sana ni bora kama anakuheshim hafany mbele yako shukuru mungu.
Mana inauma yani kitu unakijua unamuuliza alf anakudanganya na bonge la tabasam kama hauna uvumilivu unaweza hata ukamuwekea sumu afe mana haina haja ya kulala na kuamka na mnafki adui wa kimya kimya ama kwel kikukacho kinguon mwako inauma sana.Wanawake hawachungiki ka kunguru
Nahitaji kujua mawasilano ya mke wangu yanayofanyika kwenye simu yake ya mkononi, yaani akitumiwa message kwenye simu yake iingie na kwenye simu yangu, pia akipigiwa simu na mtu mwngne simu iweze kuita na kwangu ila nisiweze kuipokea na atakapoipokea akianza mazungumzo na aliyempigia simu nami niwe naweza kusikiliza maongezi yao kupitia simu yangu.
Ombi langu ni kuelekezwa namna ya kuunganisha hizi laini mbili ya mke wangu na ya kwangu pasipo kumjulisha mke wangu kwamba naunganisha simu ziwe zinatoa taarifa, kama kuna mtu yeyote anaejua anielekeze au tuwasiliane kupitia namba yangu ya simu. Nitashukuru sana kwa kupatiwa ufumbuzi maana nimejaribu mda mrefu hili zoezi lakini nimeshindwa kufanikiwa. Msaada waweza ku comment au msaada mzuri waweza kunistua kupitia namba 0756831508. Asanteni!