kombomshana
Member
- Sep 2, 2013
- 88
- 14
Andika ya utumish
Ahsante mkuu
Andika ya utumish
Kwanza napendeza kuipa hongera kwenda ajira.go.tz kwa jitihada utumishi wanazozifanya katika kusogeza huduma karibu kwa wateja. Je wewe ni mmoja kati ya watu ambao wameshawahi kufanya maombi ya kazi online kwa kutumia Recruitment portal ?Bila shaka jibu lako ni ndio.
Nataka nikufundishe kidogo utawezaje kujua kama utaitwa kwenye inteview kabla hata majina hayajatoka. Je una kiu hiyo ya kutaka kujua ?Ingia kwenye akaunti yako, click My applications.Zitakuja positions ambazo umesha-apply tayari.Angalia kuna mahala pameandikwa Application Status -Kama umebahatika,utakutana na neno First Interview
HONGERA SANA:
Nyongeza plus~updated 08 May 2015. Napenda kushare na nyie kitu kidogo ambacho kitasave pesa zetu kuhusiana na barua za maombi za kuattach kwenye job application.Je unapoteza pesa nyingi kwenye ku-scan ?Usiende kuscan barua yako hakuna hiyo haja. Type vizuri barua yako ya kazi kwenye Microsoft word then isave.
smallpdf.com/word-to-pdf ina uwezo wa kubadilisha document yako iliyo kwenye word to pdf.
Huna haja ya kuscan barua zako za kazi.
msaada wakuu ukitaka kutuma maombi zaid ya moja unafanyaje..?!!
msaada kwenye tuta
Wakuu msaada me nilifungua acc mda mrefu na nishawahi itwa kwenye interview cha ajabu leo nime log in kwenye acc yangu pale kwenye sehemu inapotakiwa ikae passport yangu nimekuta passport ya mtu mwingine kabisa wakati mimi sijawahi weka passport yangu toka nifungue acc ya utumishi...so imewekana vipi kuwekwa picha nyingine wakati acc yang na hakuna mwingine anaejua username wala password zang?
Ndugu Danny hata mimi limenikuta hilo..... Nimenijiuliza maswali nikakosa majibu.
Alaf chakushabgaza sasa kila nikitaka ku apload my photo ina load mda mrefu alaf ina logout yellowed..... Asa cjui system imeingiliwa na hackers au ni vp
Ni utata hapo ndugu inabidi kuwasiliana na wahusika....maana kama mtu ana uwezo wa kuaccess acc yako anaweza akafanya anachotaka
Kwanza napendeza kuipa hongera kwenda ajira.go.tz kwa jitihada utumishi wanazozifanya katika kusogeza huduma karibu kwa wateja. Je wewe ni mmoja kati ya watu ambao wameshawahi kufanya maombi ya kazi online kwa kutumia Recruitment portal ?Bila shaka jibu lako ni ndio.
Nataka nikufundishe kidogo utawezaje kujua kama utaitwa kwenye inteview kabla hata majina hayajatoka. Je una kiu hiyo ya kutaka kujua ?Ingia kwenye akaunti yako, click My applications.Zitakuja positions ambazo umesha-apply tayari.Angalia kuna mahala pameandikwa Application Status -Kama umebahatika, utakutana na neno First Interview
HONGERA SANA:
Nyongeza plus~updated 08 May 2015. Napenda kushare na nyie kitu kidogo ambacho kitasave pesa zetu kuhusiana na barua za maombi za kuattach kwenye job application.Je unapoteza pesa nyingi kwenye ku-scan ?Usiende kuscan barua yako hakuna hiyo haja. Type vizuri barua yako ya kazi kwenye Microsoft word then isave.
smallpdf.com/word-to-pdf ina uwezo wa kubadilisha document yako iliyo kwenye word to pdf.
Huna haja ya kuscan barua zako za kazi.
msaada wakuu ukitaka kutuma maombi zaid ya moja unafanyaje..?!!
msaada kwenye tuta
Kwa mfano ukituma economist pale kwenye barua unaandika hyo economist ukishatuma rudi tena kwenye barua futa ile ya mwanzo attach nyingine itakayohusu hiyo post nyingine then send
Wakuu msaada me nilifungua acc mda mrefu na nishawahi itwa kwenye interview cha ajabu leo nime log in kwenye acc yangu pale kwenye sehemu inapotakiwa ikae passport yangu nimekuta passport ya mtu mwingine kabisa wakati mimi sijawahi weka passport yangu toka nifungue acc ya utumishi...so imewekana vipi kuwekwa picha nyingine wakati acc yang na hakuna mwingine anaejua username wala password zang?
Ndugu Danny hata mimi limenikuta hilo..... Nimenijiuliza maswali nikakosa majibu.
Alaf chakushabgaza sasa kila nikitaka ku apload my photo ina load mda mrefu alaf ina logout yellowed..... Asa cjui system imeingiliwa na hackers au ni vp
Nimeikuta hii kitu ila nilipo upload picha yangu nyingine ikakubali