Recent content by nywi

  1. N

    Mimi si mbaguzi lakini sina imani na wahindi

    Wahindi na wabaguzi na ma opputunist, wako Tanzania zaidi ya generation tatu lakini bado kwa sehemu kubwa uhusiano wao na waafrika na Master na servant.
  2. N

    Kibonde kuhamia Al-Jazeera tv...

    Kama ni kweli hongera sana Kibonde
  3. N

    Jamani tusiwaamini wakenya kamwe nikama mambwamwitu wanaotuvizia

    Kweli wa Kenya ni wasanii lakini wananufaika na uzembe wetu, sis ndio inge bidi tuwe wakwanza kujitangaza
  4. N

    Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    1. Not everything that is faced can be changed, but nothing can be changed until it is faced
  5. N

    Elimu katika ndoa

    Issue inaweza kuanzia kwako ukianza kuwa na inferiority, solution na wewe anza kujiendeleza kielimu
  6. N

    Why indians are not successful business people in scandinavian country?

    Wahindi wana sifa nzuri na mbaya zinazowafanya wafanikiwe, they are hard working, they have discipline, they are opputinists, racist and they are also corrupt, sehemu ambazo corruption ni ngumu hawazipendi.
  7. N

    CV za Wabunge Wapya Chadema

    A curriculum vitae is a typically a "living document" which will reflect the developments in a a professional's career, and thus should be updated frequently.
  8. N

    Kumbe hawara haachiki!!

    A stolen apple is the Sweetest.
  9. N

    Mwenye CV ya Charles Kitwanga (Kipengele cha Education) anipe

    Hapa naona issue ya kujadili ni conflict of interest kati ya bishara yake na kampuni yao, otherwise kama ni utendaji kama waziri it wont be fair kusema hafai wakati ndio kwanza ameteuliwa. To me Infosys ni kampuni ya kibongo yenye mafanikio
  10. N

    Why dating MBA is becoming a way of life to most ladies.........

    Imagine of a woman past forty hajaolewa na ana kazi yake na heshima yake nzuri mtaani, her likely option ni MBA kwani kuhang na bachelor wa age yake most likely atakuwa hajatulia nae hataki kuonekana mhuni, mtu wa ku hang nae ni MBA ambae nae ana respect ya kupresenve
  11. N

    Our 5th Anniversary

    Hongera sana, mwekeni Mungu mbele ktk kila jambo mta dunu
  12. N

    Who are these Bongo Icons???

    Duu !! Si mchezo!
  13. N

    Why dating MBA is becoming a way of life to most ladies.........

    Wanawake wengine wanapenda freedom na wakiwa na MBA's hawawabani kwani wana family commitment zao, bachelor wako free kupita kiasi and some women dont like that
  14. N

    Tamko la Vijana 'WASOMI' wa vyuo vikuu Mkoa wa Dodoma Dhidi ya wabunge wa CHADEMA

    Uongozi wa UDOM uwashauri vijana wao na statement wanazotoa otherwise wanaathiri credibility ya chuo chao
  15. N

    Tamko la Vijana 'WASOMI' wa vyuo vikuu Mkoa wa Dodoma Dhidi ya wabunge wa CHADEMA

    Kama hawa ndio wasomi wetu tumekwisha, reasoning yao ni zero
Back
Top Bottom