Mimi si mbaguzi lakini sina imani na wahindi

Mimi si mbaguzi lakini sina imani na wahindi

Wahindi na wabaguzi na ma opputunist, wako Tanzania zaidi ya generation tatu lakini bado kwa sehemu kubwa uhusiano wao na waafrika na Master na servant.
 
wahindi miili yao ipo tanzania,pesa zipo kanada,moyo na fikra vipo india. Ni rafiki apokua na shida,akimaliza shida yake hana urafiki na wewe
<br />
<br />
duh kweli jamaangu awawahindi noma wanachuma bongo na kujenga canada,juzi apa mwanza kuna muindi moja alifunga uduma la duka lake kwa wikimoja kaenda kufanya ufunguzi wa nyumba yake canada uku mwanza watu wanaangaika wapate wapi bidhaa kwani uyo muindi ndiye delar mkuu wa izo bithaa ni aibu.
 
Wapo nchini kimaslahi yao zaidi,we tuliza boli mkuu.
 
Na Watanzania tukagombee Ubunge India, tuone kama ni ndugu wa wakweli, au ni undugu wa rasilimali zetu tu? Wanakuwa Watanzania wanapotaka kula keki tamu ya uchumi wetu tu, katu mhindi si mtanzania?
<br />
<br />
Sana
 
Lile azimio la a-town litatukost sana na hawa watu maponjoro
 
Jamani ee mimi ni mtanzania halisia baba yangu mzawa wa Morogoro, halaf mama yangu mzawa wa Kihagara, Mbinga huko ziwa Nyasa jimbo la gamba Komba. Kifupi mimi imani yangu inakuwa ndogo sana na hawa ndugu zetu wahindi kwa ushawishi wa vitu vifuatavyo <br />
<br />
1. Sio watu wa kujichanganya hata kwa kuzaa na waswahili na ikitokea mmoja amepotoka basi watamtenga. <br />
<br />
2. Sijawahi kuona muhindi amenunua kiwanja na kujenga makazi ya kudumu zaid ya kupangapanga tu hata kama wana uwezo. <br />
<br />
3. Wanakua na mijumuiko mikubwa ambayo wanaiita ya kiimani. <br />
<br />
4; na muhimu. Wanakuwa na kama hasira flan na watu weusi hasa waswahili zaidi dada zetu mahausigel mpaka inatia woga halaf muhindi hata azaliwe Kariako bado hawana umuhimu na kiswahili ya mkono anaita kono. Mi nahisi labda lile AZIMIO LA ARUSHA lisije likatuzalishia visasi jamani hebu wenzangu mnafikiria je?
<br />
<br />
Mimi pia siwafagilii kivile. Ila kwa sababu waziri wa fedha kwa serikali ya baba wa taifa alikuwa mdosi, na kwa kuwa nikiugua moyo wasije wakanifanyizia....basi nakuwa mpole..ila bora wachina kuliko wahindi maana mdosi skijamba bwana shughuli lazima iharibike ndo maana hawajichanganyi na sisi...dengu na pilipili = atomic bomb
 
Samaki moja bovu wengine wote piya bovu.....methali from my indian class mate in Form one kiswahili. Alikuwa na wakazi mgumu sana.

Ila ukiacha kujitenga na kutoongea na mtu, bint huyu wa kihindi alikuwa hana makuu wala dharau kwetu sisi weusi ikitokea unahitaji kitu from her.

Pia arusha kule njiro nawafahamu wahindi wengi waliojenga nyumba zao nzuri though hawana mda na waswahili....waswahili wengi ni "chorii".
 
Prof Shivji ni Mhindi. Pamoja na wenzie kuwa wanoko, wabinafsi na wadhalilishji, Huyu bwana Shivji anaihitaji heshima za pekee. Mnaonaje Wakuu?
 
Na Watanzania tukagombee Ubunge India, tuone kama ni ndugu wa wakweli, au ni undugu wa rasilimali zetu tu? Wanakuwa Watanzania wanapotaka kula keki tamu ya uchumi wetu tu, katu mhindi si mtanzania?

Kaka hilo la ubunge umefika mbali sana. kama we si muhindi kupata oportunite ya kufanya chochote INDIA is absolutely impossible. Labda ukasafishe vyoo vyao.

Kaka mimi nimesoma INDIA,. Nawajua wahindi in and out. Hii mada imenikuna sana, kwasababu ni hali ambayo nimeishuhudia kwa macho wenyewe na sio kusimuliwa. Binafsi sifichi. Wahindi nawachukia sana kuliko watu wote dunia hii.

Nashangaa kwanini tunawaogopa na kuwapa hesima zote hapa kwetu. Wao ukienda India wanakuchukulia kama mkimbizi. I dont how to put this, but inshort ukikaa India, Huna haki sawa na mhindi. Ata ukipigwa, ukienda polisi kushitaki huwezi kusaidiwa kisa aliyekupiga ni muhundi, na yuko nchini kwao. Jamaa wana mambo mengi ya kibaguzi, naweza kusema kishenzi. ila kwa mtu ambaye hujakaa INDIA huwezi kuelewa.

wahindi wanakuja Africa kutuchora tu, na sisi tunawaachia mali zetu kuzitumbua. Kiasi kikubwa hao ndo wahusika wakuu wa rushwa hapa nchini. Angalia kampuni ya rites, kina rostam, kina mohamedi, abood. hawa wote ukiambiwa historia yao ya nyuma utacheka mpaka kwenye utumbo. walikuwa maskini wa kutupwa. wametajirika Tz kwa kupitia upumbavu na unyonge wa waTZ. leo hii tunawogopa kama wafalme.
Ila ukiwa kwao, na wakigundua wewe ni mwafrika umetajirika kupitia INDIA. WALAHIIII, wanaweza kukumaliza na kuku-ua kabisa
 
Nasikia wahindi WAGOA ni afadhali. Lakini hadithi ninazozipata ni hatari tupu
 
Mambo mengine yanatakiwa yazungumziwe kwenye mikutano ya ndani, uhuru wa mawazo unaongezeka, ushauri, mipango na hata namna nzuri ya kujikomboa kivitendo. Maneno au maandishi matupu hayavunji mfupa!
 
Mustafa sabodo mama ako au bwana wako ww dengu mutahama hii nchi kwa gharama yoyote
 
Mkuu, labda nikuulize hivi
Wewe mbona hujibu ya kwangu?

Mhindi nchi hii wasema kajenga majengo, alijenga kwenye viwanja vya nani?

Raia wa Tanganyika Mhindi mwaka 1919 uraia kapewa na nani?
 
Du imenikumbushia mbali nakumbuka O level nilisoma na wahindi sasa kuna demu mmoja akakolea kwa mbongo yaani nakuambia huyo mhindi alikolea sawasawa akawa anamletea huyo jamaa hela nyingi pamoja na dengu za kutosha,nakumbuka siku moja yule mhindi alikuja analia akamwambia jamaa wazazi baada ya kugundua ana uhusiano nae wamemkataza asiendelee na uhusiano na huyo mbongo.lakin waliendelea mpaka tukamaliza shule.

Sasa basi baada ya miaka mingi nikaja kukutana na rafiki yake nikaulizia yale mapenzi ya yule mdada wa kihindi na jamaa yaliishia wap,jibu nililopata nilichoka kumbe yule mbongo baada ya kumaliza O level walitaka waoane na yule mhindi wazazi wa mhindi walipinga vikali ikafikia hatua ya kumfungia ndani yule mdada alipoona mambo yamebana kabisa akanywa sumu mpaka kufa.Hawa jamaa mwanamke wao kuolewa na mbongo hawatak kabisa.
 
Wahindi sio, kuna rafk yangu anafanya kaz kampun ya Vodka, Vingungut. Wanapewa 3100 per day. Ukijifanya kunenepa unaambiwa mwizi uchunguzwe. Ni wakatili sana.
 
Wewe mbona hujibu ya kwangu?
Mhindi nchi hii wasema kajenga majengo, alijenga kwenye viwanja vya nani?
Raia wa Tanganyika Mhindi mwaka 1919 uraia kapewa na nani?
Nyumba zote walizojenga wahindi hawakujenga 1919.
Baada ya uhuru 1966 watu wote waliokuwepo walipewa uraia wa Tanzania, na wahindi wengi ndio wakununua viwanja kialali wakajenga hizo nyumba, mpaka serikali wakawadhurumu wahindi nyumba zao
 
Back
Top Bottom