Iyo mkuu hadi ulipie Fanya mpango wa kutafta namba nyingine ambayo itakusaidia kupambana na Haliyako
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Diamond ni msanii wa bongo ambae anajua kunyoosha maelezo katika Interview zake na anajiamini kama young TUSO ingawa young tuso bado hajawa mkubwa ila interview zake safi
Mkuu me kwa ujinga wangu naona labda ana matatizo tu ya kiafya ukute anaumwa fistula mwambie ajaribu kuzungumzanae maybe ikawa anamficha kuwa anatatzo ilo. #UJINGA WANGU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.