papaa maglass
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 353
- 301
- Thread starter
- #41
Siku ukiibiwa ndoutafurahi zaidi. Asanteha ha ha dah mambo mengine yanafurahisha
Post sent using JamiiForums mobile app
Siku ukiibiwa ndoutafurahi zaidi. Asanteha ha ha dah mambo mengine yanafurahisha
Ninayo mkuuUnayo risiti ya ununuzi wa simu hiyo?
Nenda polis kafungue kesi pata RB baadae kesi yako ikipata mpelelezi yeye ndiye mnaenda naye kwenye mtandao uliokuwa unatumia wanaitrack itaonekana mahali ilipo na anayeitumia na mpaka third part wa anayetumia kwasasa..Mwana JF Naomba kuuliza kama kuna mtu Mwenye kujua hili.
Ninayo IMEI namba ya simu.
Post sent using JamiiForums mobile app
duu! Kwa style hii ni ngumu kuipata cm complete, hata akifatilia IME anaweza ishia kupata motherboard pekee!Hauwezi kuipata....simu siku hizi watu wanauza vizaa vinabei kubwa kuliko simu ikiwa nzima... Yaani kioo, betri., kamera hardware za ndani. Utapoteza muda na pesa bure. Siku hizi spare part zinadeal sana.
Kwani tecno sio simu?Kama ni tecno samehe tu mkuu!
Post sent using JamiiForums mobile app
[emoji125] [emoji125] [emoji125]Kwani tecno sio simu?
Post sent using JamiiForums mobile app
Hahhahahahha[emoji13] [emoji13]Aina nyingine za simu ukiibiwa unakausha.
Edge 7Piga moyo konde....
Kisha nunua Samsung age 7
Wewe mbona hujaweka signature? Hupendi status?
Nenda polis kafungue kesi pata RB baadae kesi yako ikipata mpelelezi yeye ndiye mnaenda naye kwenye mtandao uliokuwa unatumia wanaitrack itaonekana mahali ilipo na anayeitumia na mpaka third part wa anayetumia kwasasa..
.
Kwenye mitandao ya simu au tcra hawawezi kukupa msaada bila kuwa na askar.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Labda kama aliyekuibia kaipeleka TCRA
Njia kuu y'a kujilinda ni kuachana n'a hard cash moneyUlivyosema umeibiwa simu, umenikumbusha kitu ivi serikali aikemei makampuni yaliyopata tenda za kulinda pale Mlimani city na pale Magomeni NMB. Kuna wizi wa kufa mtu, mtu anatoka kuchukua pesa bank. Jamaa wanamlia taimingi ya kumuibia pesa na wengi wanakuwa na noah au ndio michongo na walinzi wa sehemu izo na watumishi wa bank zilizopo Mlimani city na pale Magomeni NMB bank [emoji542]
Haahahaaa.....kwani bei gani!??Aina nyingine za simu ukiibiwa unakausha.
pilika zote hizo gharama yake ni bora anunue simu mpya tu,kikubwa ajifunze kutunza phonebook yake google...Kwanza piga mtandao husika kuwajulisha simu yako umeibiwa ili waiblock laini yako ,Pili nenda kituo kikubwa cha Polis ukafungue kesi na utapata loose Report ya Polis. Tatu, Nenda TCSR ukiwa na Loose report ya Polis,IMEI, kwa msaada zaidi.KUMBUKA MAELEZO YAKO POLIS NDO YATAKUJA KUTUMIKA MAHAKAMANI PINDI MTUHUMIWA AKIKAMATWA, HIVYO HAKIKISHA UNAANDIKA VITU VYOTE ULIVYOIBIWA NA NAMNA ULIVYOIBIWA .
Sio kweli . Itamtoka kama elf 50 hviMpaka uje kupata sim unakua ushatumia gharama za sim za hvo 4
Gharama zote za nini hizo...Nenda polis kafungue kesi pata RB baadae kesi yako ikipata mpelelezi yeye ndiye mnaenda naye kwenye mtandao uliokuwa unatumia wanaitrack itaonekana mahali ilipo na anayeitumia na mpaka third part wa anayetumia kwasasa..
.
Kwenye mitandao ya simu au tcra hawawezi kukupa msaada bila kuwa na askar.
Sio kweli . Itamtoka kama elf 50 hvi