Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poa nina mpango wa kuja usiwazeToroka uje
Tumia hotmail itakubaliSamahani mkuu na simu yangu Nokia lumia 520 Inagoma kufungua Email nifanyaje
Sent using Jamii Forums mobile app
njia rahisi ni kufugua na simu au computer nyengine kisha login humo.Samahani mkuu na simu yangu Nokia lumia 520 Inagoma kufungua Email nifanyaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok asante sana mkuu nimefanya hivyo now iko poa shukrani sana ubalikiwe tena na tena hadi ushangaenjia rahisi ni kufugua na simu au computer nyengine kisha login humo.
au tumia browser ya simu kutengeneza hio account.
kama una email ya outlook, live au hotmail pia inaweza tumika kama microsoft account.
Namna mbili :
1. Hapo hapo pana sehemu imeandikwa manage active devices. Ukibonyeza hapo utapata kuelewa ilipo simu yako na hata kuipigia au kufuta data, mradi tu iwe hewani.
2. Nenda TCRA
hapo kwenye location on ndio utata kwa members wengi wa jfNimecheck unaweza ukatumia pia kama reference ya maeneo uliyopita au unayopita kama wakati unatumia simu umekuwa umeweka location on
Kutrace mkuu. Watakueleza mpaka simcard iliyomo humo kwa sasaView attachment 570901
Simu yangu imeibiwa majuzi mpaka leo haiko hewani TCRA wanasaidia kuifunga au kuitrace iko wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo hapo ukifungua hiyo link kwa chini utaona Location History uki-click inakuonyesha ila inafanya kazi kama Handset yako uli-set location on...yaani inakuonyesha sehemu zote ulizotembelea na ukitaka kwa siku pia inakuonyesha (kama simu haikuwa kwenye Location on mode itakuambia no location historyhapo kwenye location on ndio utata kwa members wengi wa jf
hatupendi kuweka location on mambo ya kukamatana kila leo noma tunapiga fake location ukim trace mtu anakupoteza utaambiwa yupo texers badala ya mtoni kijichiHapo hapo ukifungua hiyo link kwa chini utaona Location History uki-click inakuonyesha ila inafanya kazi kama Handset yako uli-set location on...yaani inakuonyesha sehemu zote ulizotembelea na ukitaka kwa siku pia inakuonyesha (kama simu haikuwa kwenye Location on mode itakuambia no location history
Kama ulishwahi ku-sync na itunes ukilogin kwenye itunes account unaikutaNa sisi wenye IOS
Kuna location on ya google haihusiani na location on kama unavyoweka facebook au social network.....hiyo google wenyewe ndo wanaweza wakaku-trace au mtu aibe password ya email yako ama simu ni ya wizi...mamlaka zinazohusika hata kama usipoweka location on wakiamua wanakutafuta na wanakupatahatupendi kuweka location on mambo ya kukamatana kila leo noma tunapiga fake location ukim trace mtu anakupoteza utaambiwa yupo texers badala ya mtoni kijichi
Kutrace mkuu. Watakueleza mpaka simcard iliyomo humo kwa sasa