Namba ya whatsapp isiyo ya Tanzania

Namba ya whatsapp isiyo ya Tanzania

Namba ipi niliyopewa maana wamwpiga wakanipa code ndio nikaingiza pale ikatokea hii,,hyo namba wananipa wap?
Nlkujbu kulingana na ulvokua umeulza hapo juu kua "umefka mahala ko ufanye nini" hukusema kama tayari ushapewa namba na kuiunga na kupata codes......
 
Nlkujbu kulingana na ulvokua umeulza hapo juu kua "umefka mahala ko ufanye nini" hukusema kama tayari ushapewa namba na kuiunga na kupata codes......
Haya nmekuelewa so napataje ile namba ya usa
 
Mm nimeshindwa totally mana kila app ninayofungua account ninafika mpk get new number lkn ulipie hapo ndio ninakwama
 
we ntongoze na no yko ya ufilipino.lakini utaambulia kiatu cha baniani na msuli wa mwinyi
 
we ntongoze na no yko ya ufilipino.lakini utaambulia kiatu cha baniani na msuli wa mwinyi
Nakuona unakuja kutuchamba [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] me nataka nikutunuku nikupe nama ya India utumie vipi uko tayari?
 
namba ya kihindi kuchikuchi hotahe itakutoa ushuzi.mana ntakucall in messenger halaf utaishia '"haloo(in ngosha voice)
 
Msaada wenu nazipataje izo code za ufilipino maana nimesha download na namba nimeshipata issue ni izo code plz msaada wenu
wait kwa muda maana cku hz toka waweke in app purchase kununua no confirmation imekuwa slow sana unaweza hata kukata tamaa kikubwa refresh au kwa upesi zaid ingia whatsapp unayo2mia, then nenda setting, change no, kuna sehem ya namba uliyokuwa uki2mia na chini yake new no weka hyo ya philipine then verifiy ukishamalza chagua confirmation code utumiwe kwa njia ya call andaa karatasi na kalamu watapiga cm kwenye app ya talk 2 pokea watakutajia...
 
duh! ila mimi bado natumia hizo namba niliverify kwa app inaitwa talk 2 sms nahisi nikibadili simu ndo kwisha kazi maana ntashindwa kubypass tena code verification
hata ukibadili simu as long as una log in details unalog in na kukuta no yako ila kwa new user ndo had kulipia kupata no haf bora ku activate kwenye whatsappgb mm cjawah kuwa banned
 
60381fa786a58d8387e21eb28d460914.jpg
. Nimekwama kwenye virtual inaandika hivi msaada wadau
 
Back
Top Bottom