Wanawake mabikra tukutane hapa

Wanawake mabikra tukutane hapa

Nilipataga moja tyuu kule fesibuku tokea hapo thija pata teena
 
huu uzi upo peke yako dada hongera sana..

labda mimi bikira wa kiume nikupe company.. tujimwaye mwaya mabikira tupu tupeane na namba na kutembeleana
Hahahahahahahahhahha!! aaaaa
 
ww unajua utakufa lini? labda kabla hujafunga ndoa, uoni kama hiyo ni hasara!!!
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza

Nawaalika mabikra wote tuliopo MMU tukutane hapa tupeane uzoefu, lengo kubadirishana mbinu zilizotusaidia kuutunza usichana wetu mpaka leo hii.

Binafsi nilifanikiwa kuutunza usichana wangu kwa kuzingatia maagizo ya wazazi wangu, pamoja na hilo pia niliweka nia kutokumkubalia mwanaume yoyote atakaye nitaka kimapenzi.

Changamoto nilizokutana nazo kwa uamuzi huo ni nyingi sana, wasichana wenzangu walinicheka na kuniambia nakosa raha duniani.

Wavulana walifika mahali wakawa wananiogopa sana kutokana na majibu yangu.
Nilitengwa ktk mambo kadhaa na waliyokuwa rafiki zangu. Nilionekana kama mwanamke asiye na hisia na mengine mengi tu lakini hayakuniyumbisha.

Nafurahia maamuzi yangu sijawahi kuyajutia kamwe. Na nitaendelea na msimamo wangu mpaka nitakapofunga ndoa.

Karibuni.
Lipia tangazo tu!
Hadi ujue JF bado uwe BIKRA?
Be serious please,bikra ya wapi masikioni au puani??
Nchi hii ina wenye vituko sana!!!!
 
kazi unayo...narudia tena bikra hawajitangazi..ibaki siri yako na muumba wakoo..bikra tupo wengi sana ila kimya sababu sio vema kimaadili...
tushaona tangazo lakoo!
wapokee pm dada jua linszama hilo
angalia vizuri thread zako..kwanza kabisa uloanza kutafuta mume...baada ya few months unakuja na thread ameniacha bila sababu..tena mwanaume ulompata humuhumu jf..
na hili pia tangazoo shoga baada ya kuachwa.
watakuja usijali
Haaaahaaaaa...

Mkuu una memory Kali sana

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Virginity is not dignity but is lack of opportunities..niliwahai kumwambia mtu hivi mpaka leo najuta.
 
Bikra gani?hebu tuanzie hapo kwanza.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kama ulijitunza kwa faida yako hongera kama kwa faida ya mwanaume pole sana.ni kama vile kujitunza afu kuolewa na mwanaume mla tigo so sad
 
Hayo sasa mashauzi, umepewa tunda unalibania litachacha ! Nakuhurumia maana huyo mume unayemtunzia huko alipo ameshaonja mpaka tigo
sio kweli kwamba litachacha kuna wadada wanajitunza wanakuja kutoa anapoolewa

I BLNG 2 JESUS CHRST
 
Kama ulijitunza kwa faida yako hongera kama kwa faida ya mwanaume pole sana.ni kama vile kujitunza afu kuolewa na mwanaume mla tigo so sad
kuna wanaume wanajitunza kama hao wanawake sio kila mwanaume anafanya hivo vitu...so wakikutana inakuwa ni perfect combo..

I BLNG 2 JESUS CHRST
 
Kama una bikra HONGERA SANA...NA MUOMBE SANA MUNGU AKUPE MWANAUME ANAYEJUA WAJIBU WAKE...KWA FAMILIA...JITUNZE SANA...NA OMBA SANA

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom