jmchimbadhahabu
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 221
- 112
Polisi kuna kitengo cha Cyber crime ndio kazi zao hizi, hakikisha una risiti ya simu na IMEI no fungua jarada polisi utapewa lost report na utakabidhiwa mpelelezi (cyber crime police) ku track simu yako mahala ilipo kwa kutumia IMEI NO na itaonesha no ya simu inayotumia na location ilipo na mtamkamata kama kuku wa kizungu!