Naomba kujua kama kuna mtu anajua vizuri hii njia ya fractination wakati wa kumtongoza mtu, inasemekana ni njia bora zaidi ambayo ukiitumia kwa mtu yeyote unampata ndani ya dakika15. Pia wengine huita hii njia (MIND HACK), inasemekana ukiitumia kwa mwanamke hata kama awali alikuwa anakukataa...
Jamani kwa wale wenyeji wa Moshi naomba msaada wa wapi naweza kupata huduma ya massage ya full body kwa bei ambayo ni reasonable yaani kati ya 30,000 -40,000.
I am on my way to Moshi nitafika nimechoka sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Napenda kuuliza kuwa Gari ambayo kwa japani inauzwa $3467 na CIF mpaka dar ni $5281,je itagharimu kiasi gani mpaka kuingia barabarani ?,na tax yake pale bandarini itakuwa kiasi gani?
USHAURI:
Usiwazie kifo subiri kikifika uondoke.Kuna madhara ya kuwazia kifo ila nitazungumzia moja tu nalo ni
Ugonjwa wa moyo unasababishwa na kitu kinachoitwa anxiety(feeling disorder)...hasa pale mtu anapo develope PANIC DISORDER.Hii kitu inaweza kumsababishia mtu kifo mapema.
Tofautisha mwanafunzi wa Yesu kiroho na mwanafunzi wa Yesu physically,wewe ni mwanafunzi wa Yesu kiroho.
Sauli ambaye ndio Paulo wakati anaitwa kwenye utumishi alikuwa anaelekea DAMASIKASI kuwakamata hao wanafunzi wa Yesu na kisha awalejeshe Yerusalam,kwahiyo wakati Paulo anageuzwa kuwa mtumishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.