Recent content by ntikanushwq

  1. ntikanushwq

    Tanzania: The Sleeping Giant

    Bravo. Ugly truth
  2. ntikanushwq

    Namna ya kuanzisha game station

    Habari zenu wana jamvi. Ninakuja mbele yenu kuomba ufafanuzi kwa wajuzi juu ya namna ya kuanzisha game station. Je, ninatakiwa niwe na mtaji kiasi gani? Ni sehemu gani ninaweza pata mashine kwa gharama nafuu? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. ntikanushwq

    Napinga kibali cha Papa kwa Mapadre

    Mpaka anachagulia kuwa kiongozi mkuu wa Roman Catholic ni hakika isiyo hata na chembe ya shaka kuwa anaelimu ya kutosha. Hivyo atakuwa amejiridhisha kuwa hakuna andiko linalo zuia kuoa au kuolewa. Hivyo basi usipinge kwa mapenzi yako tu na udogo wa elimu yako.
  4. ntikanushwq

    Boyfriend wangu ni mchafu sana

    Hahahahahaaaaaaaaaa umenipa raha kweli kweli
  5. ntikanushwq

    Nilivyofurahia Bilicanas kuvunjwa

    Si vyema kumuombea mwanadamu mwenzio mabaya
  6. ntikanushwq

    Nazini sana ili nipate UKIMWI ili nianze dozi ili niache POMBE

    Daaah safi sana Sent using Jamii Forums mobile app
  7. ntikanushwq

    Hivi aliyeruhusu wanafunzi wa sekondari kuvaa hijabu alijua madhara yake?

    Daaaah kwa mawazo finyu kama haya nawe unajiita muona mbali. Hakuna muona mbali ambaye anaweze kuandika jambo ambalo hajalifanyia utafiti/tafiti na kupata maarifa ya kina. Acha mawazo mgando mwanamke sharti ajisitili. Na kama haufahamu ungeomba ujuzwe na wataalamu sio kukimbilia kuandika tena...
  8. ntikanushwq

    Snoop Dogg na Mike Tyson waingia ubia kuwekeza kwenye kilimo cha bangi

    Mi simoooooooo[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
  9. ntikanushwq

    Si kanifanyia fujo! Sasa naenda kumpa mumewe mambo

    Matagizo isiwe kisingizio cha kuharibu ndoa za wanzio. Hembu mwokope mungu wako. Piga goti tubu dhambi zako na muombe mungu akurejeshee mapenz, upenda na huruma kwa mmeo. Achana na maamuzi yasiyo na tija. Eg. Ukishampa then what next???????
  10. ntikanushwq

    Only for experts

    What are differences between critical thinking and creative thinking?
Back
Top Bottom