Habari zenu wana jamvi.
Ninakuja mbele yenu kuomba ufafanuzi kwa wajuzi juu ya namna ya kuanzisha game station.
Je, ninatakiwa niwe na mtaji kiasi gani?
Ni sehemu gani ninaweza pata mashine kwa gharama nafuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka anachagulia kuwa kiongozi mkuu wa Roman Catholic ni hakika isiyo hata na chembe ya shaka kuwa anaelimu ya kutosha. Hivyo atakuwa amejiridhisha kuwa hakuna andiko linalo zuia kuoa au kuolewa. Hivyo basi usipinge kwa mapenzi yako tu na udogo wa elimu yako.
Daaaah kwa mawazo finyu kama haya nawe unajiita muona mbali. Hakuna muona mbali ambaye anaweze kuandika jambo ambalo hajalifanyia utafiti/tafiti na kupata maarifa ya kina. Acha mawazo mgando mwanamke sharti ajisitili. Na kama haufahamu ungeomba ujuzwe na wataalamu sio kukimbilia kuandika tena...
Matagizo isiwe kisingizio cha kuharibu ndoa za wanzio. Hembu mwokope mungu wako. Piga goti tubu dhambi zako na muombe mungu akurejeshee mapenz, upenda na huruma kwa mmeo. Achana na maamuzi yasiyo na tija. Eg. Ukishampa then what next???????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.