ntikanushwq
Member
- Nov 8, 2017
- 38
- 10
Habari zenu wana jamvi.
Ninakuja mbele yenu kuomba ufafanuzi kwa wajuzi juu ya namna ya kuanzisha game station.
Je, ninatakiwa niwe na mtaji kiasi gani?
Ni sehemu gani ninaweza pata mashine kwa gharama nafuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninakuja mbele yenu kuomba ufafanuzi kwa wajuzi juu ya namna ya kuanzisha game station.
Je, ninatakiwa niwe na mtaji kiasi gani?
Ni sehemu gani ninaweza pata mashine kwa gharama nafuu?
Sent using Jamii Forums mobile app