Ila wanawake tunaakili ndogo jmn sijui ni nani alituloga....yaan mtu anafkiria kbs kutoa papa kwa mume wa mtu ni kumkomesha mkewe na si km anatumika.....
Mtoa post kavurugwa, wallah hayupo sawa atakua amepata kichaa cha ndoa kutokana na mgogoro alionao
Well saidPole sana Kivuruge. Ila nikwambie tu unaweza ona unamkomoa huyo mama kumbe unajikomoa. Kwa hayo uliyoyaandika kuhusu hiyo familia wewe ndio unaonekana hujielewi na ndio sababu unataka vuruga ndoa za watu. lol
Ila nikwambie tu muda unaoutumia kuvuruga ndoa za watu ungeutumia kutafakari namna ya kumaliza mgogoro na mumeo.
Well said