Habari zenu ndugu,
Naomba msaada kwa anaefaham, nilikuwa mwaka Jana nikiomba ajira za ualim sikubahatika . Sasa ajira hizi zilizotagazwa nimejarib kuomba ila wanahitaji account ile ile Sasa password nimeisahau na kila nikijarib inakataa. Nikienda kwenye forgot password najaza taarifa lakin...
Habari za mchana ndugu zangu. Naomba MSAADA wa yeyote anaefahamu chuo kinachotoa certificate ya medical lab chenye GHARAMA nafuu ili niweze kumpeleka ndugu yangu.
Kwa mwenye kufahamu anitajie ila akiwa na mawasiliano aniwekee ili niweze kufahamu vizuri Zaidi. Kama kipo ambacho ada yake haizidi...
Habari za usiku ndugu zangu . Niende kwenye mada moja kwa moja , kunatatizo linamsumbua mno hasa maeneo ya pwani sijui kama maeneo mengine lipo kiasi hichi .tatizo la kunyauka kwa Miche wakat wa matunda (nmyauko) . Ombi langu ni kuwa kwa yeyote ambae anafaham utatuzi wa hili janga naomba...
Habari zenu ndugu zangu Mimi ni mkulima kwa Sasa nipo dar nahitaji kufaham mbegu nzuri ya mahindi ya kuchoma na maeneo yanapopatikana kwa hapa Dar.
Ni hayo tuu ndugu zangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.