Wachina wanaojenga mto Ng'ombe wamekimbia site baada ya kutolipwa pesa za mradi

Dec 20, 2016
98
109
Tunaiomba Serikali ya mkoa wa Dar es Salaam kupitia wilaya ya kinondoni kutupa maelezo ya kueleweka kusimama kwa mradi wa mto ng'ombe unaopita maeneo ya sinza mtogole mpaka mkwajuni kusimama kwa miezi mitatu.

Huku wakazi wa huku tukiwa hatuna amani maana mda si mrefu mvua zitaanza na tutapigwa na mafuriko kwa sababu sehemu kubwa bado mto huu haujajengwa kingo.

Wakandarasi wanasema hawajalipwa pesa na mteja wao ndo maana wamesimamisha kazi
 
Tunaiomba serikali ya mkoa wa dar es salaam kupitia wilaya ya kinondoni kutupa maelezo ya kueleweka kusimama kwa mradi wa mto ng'ombe unaopita maeneo ya sinza mtogole mpaka mkwajuni kusimama kwa miezi mitatu
Huku wakazi wa huku tukiwa hatuna amani maana mda si mrefu mvua zitaanza na tutapigwa na mafuriko kwa sababu sehemu kubwa bado mto huu haujajengwa kingo
Wakandarasi wanasema hawajalipwa pesa na mteja wao ndo maana wamesimamisha kazi
In times of financial crisis kitu kinacho suffer kwanza ni masuala ya maendeleo-ujenzi.
 
Tunaiomba serikali ya mkoa wa dar es salaam kupitia wilaya ya kinondoni kutupa maelezo ya kueleweka kusimama kwa mradi wa mto ng'ombe unaopita maeneo ya sinza mtogole mpaka mkwajuni kusimama kwa miezi mitatu
Huku wakazi wa huku tukiwa hatuna amani maana mda si mrefu mvua zitaanza na tutapigwa na mafuriko kwa sababu sehemu kubwa bado mto huu haujajengwa kingo
Wakandarasi wanasema hawajalipwa pesa na mteja wao ndo maana wamesimamisha kazi
Uchumi wa kati au tigo ya kati?
 
Subirini tukusanye nauli ili kibubu kijae tena, maana manunuzi hawa mwewe kwa cash yaliacha kibubu kikipumulia mashine..
 
Tunaiomba serikali ya mkoa wa dar es salaam kupitia wilaya ya kinondoni kutupa maelezo ya kueleweka kusimama kwa mradi wa mto ng'ombe unaopita maeneo ya sinza mtogole mpaka mkwajuni kusimama kwa miezi mitatu
Huku wakazi wa huku tukiwa hatuna amani maana mda si mrefu mvua zitaanza na tutapigwa na mafuriko kwa sababu sehemu kubwa bado mto huu haujajengwa kingo
Wakandarasi wanasema hawajalipwa pesa na mteja wao ndo maana wamesimamisha kazi
Mitano tenaa!! Tutembee kifua mberee nchi hii tajiri
 
Tunaiomba serikali ya mkoa wa dar es salaam kupitia wilaya ya kinondoni kutupa maelezo ya kueleweka kusimama kwa mradi wa mto ng'ombe unaopita maeneo ya sinza mtogole mpaka mkwajuni kusimama kwa miezi mitatu
Huku wakazi wa huku tukiwa hatuna amani maana mda si mrefu mvua zitaanza na tutapigwa na mafuriko kwa sababu sehemu kubwa bado mto huu haujajengwa kingo
Wakandarasi wanasema hawajalipwa pesa na mteja wao ndo maana wamesimamisha kazi

Mkui hizi hela si zz World bank?
 
Back
Top Bottom