Msaada wa chuo cha gharama nafuu cha afya

Msaada wa chuo cha gharama nafuu cha afya

Northern empire

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2019
Posts
358
Reaction score
463
Habari za mchana ndugu zangu. Naomba MSAADA wa yeyote anaefahamu chuo kinachotoa certificate ya medical lab chenye GHARAMA nafuu ili niweze kumpeleka ndugu yangu.

Kwa mwenye kufahamu anitajie ila akiwa na mawasiliano aniwekee ili niweze kufahamu vizuri Zaidi. Kama kipo ambacho ada yake haizidi milion moja itakuwa ni vizuri Zaidi. Ni matumaini yangu nitapata MSAADA.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
MEDICAL LAB, ukae ukijua hii programme haipo vyuo vingi vya GVT, vingi ni Private, mbaya zaidi hujaspecify unataka upande upi, Anyway hata iwe GVT Ada ni zaidi ya 1M utake usitake,


Jaribu DECCA kipo Dodoma mjini Ada yake naamini haizidi anagalau ni nafuu kidogo >1.5M
 
Huko atalia mzee baba Ukija jumlisha na michango atakuta kisanga cha 2M+..

Kuna gvt kama Singida(jina limenitoka), police academy kipo Dar...

Kiufupi aingine Nacte akacheki guideline ya mwaka 2020/2021 ina vyuo vyote na ada zao
MEDICAL LAB, ukae ukijua hii programme haipo vyuo vingi vya GVT, vingi ni Private, mbaya zaidi hujaspecify unataka upande upi, Anyway hata iwe GVT Ada ni zaidi ya 1M utake usitake,


Jaribu DECCA kipo Dodoma mjini Ada yake naamini haizidi anagalau ni nafuu kidogo >1.5M
 
Back
Top Bottom