MSAADA/ USHAURI mdomo kunuka

MSAADA/ USHAURI mdomo kunuka

Nom14

New Member
Joined
Apr 10, 2021
Posts
2
Reaction score
1
Nimetengwa na jamii kisaa nanuka mdomo jamanii hta nipige mswaki kila saa bado mdomo unanuka nmejaribu dawa nyingi lkn hakun nafuu cijapona naombeni msaada ndugu zangu wapi nitapata tiba sahibi
 
Nimetengwa na jamii kisaa nanuka mdomo jamanii hta nipige mswaki kila saa bado mdomo unanuka nmejaribu dawa nyingi lkn hakun nafuu cijapona naombeni msaada ndugu zangu wapi nitapata tiba sahibi
Nenda hospital utapona,
 
Nenda kwa Daktari bingwa wa kinywa pia badilisha dawa usitumie zenye floride. Tumia dawa inaitwa Alovera ile OG inauzwa 15k supermarket pia uwe unatembea na peke za karafuu mfukoni unazitafuna utarudi kunishukuru
 
Je unaelewa nini kuhusu tonsillolith? Au tonsil stone?
 
Back
Top Bottom