Recent content by noma

  1. N

    Hongera timu ya vijana ngorongoro heroes

    Ribosome huelewi nini sasa? We MALAPA (YANGA) nini? Ngorongoro walishinda 3 -1 hapa wakajiwekea akiba ya magoli, kama vile simba ilivyoshinda 3 - 0. Hutaki ukweli?
  2. N

    Hongera timu ya vijana ngorongoro heroes

    safi sana. Huo ndio utamu wa kushinda kwa magoli mengi nyumbani, kama simba vile.
  3. N

    Mh. Mbassa (CHADEMA) ashinda kesi jimbo la Biharamulo Magharibi

    safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
  4. N

    Hukumu ya Kesi ya Uchaguzi Biharamulo

    nilisoma uzi kuwa hukumu ya biharamulo ilianza kusomwa saa 7 mchana lakini sikupata majibu isipokuwa kutoka kwa mujunu mjani
  5. N

    Hukumu ya Kesi ya Uchaguzi Biharamulo

    duh kwahiyo Mbasa si mbunge tena, hii balaa sasa, kwa hiyo tunasubiri mnyika nae avuliwe ubunge. Itakuwa CCM 1 CDM 3
  6. N

    Hukumu ya Kesi ya Uchaguzi Biharamulo

    update ya biharamulo ikoje jamani
  7. N

    Mwenyekiti wa CHADEMA Usa River auwawa kinyama

    Rip mwenyekiti
  8. N

    Hukumu ya Lissu - Jisomee mwenyewe

    Mbunge wa jimbo la Singida mashariki CHADEMA),Tundu Lissu,muda mfupi baada ya mahakama kuu kutupilia mbali maombi yaliyotolewa na Shaban Selema na Pascal Halu wa CCM,kupinga matokeo yaliyompa ushindi wa ubunge. Mbunge wa jimbo la Singida mashariki (CHADEMA) Tundu Lissu akifutwa machozi na mke...
  9. N

    Isango picha za ushindi Singida ziko wapi?

    Mbunge wa jimbo la Singida mashariki CHADEMA),Tundu Lissu,muda mfupi baada ya mahakama kuu kutupilia mbali maombi yaliyotolewa na Shaban Selema na Pascal Halu wa CCM,kupinga matokeo yaliyompa ushindi wa ubunge. Mbunge wa jimbo la Singida mashariki (CHADEMA) Tundu Lissu akifutwa machozi na mke...
  10. N

    Picha ya Mwakyembe?

    Leo Mh. Harrison Mwakyembe amehudhuria bunge. Kuna yeyote aliyefanikiwa kupata picha yake?
  11. N

    Nini kimempata Nassari?

    Naibu kiongozi wa upinzani Bungeni Mh Zitto amekiri CDM hakikusoma vizuri kanuni za bunge. Ameomba msamaha kwa spika, sasa wataapishwa alhmamisi. Jumatano watakuwa wanapewa maelekezo jinsi bunge linavyofanya kazi.
  12. N

    Nini kimempata Nassari?

    Naomba kujua kwanini Nassari hakuapishwa leo. Kuna nini kinaendelea.
  13. N

    Nini kimempata Nassari?

    wamelewa sifa
  14. N

    Watch Simba vs Es Setif live

    watch es setif vs simba sc en direct 06-04-2012 en streaming
Back
Top Bottom