Hukumu ya Kesi ya Uchaguzi Biharamulo

Hukumu ya Kesi ya Uchaguzi Biharamulo

Hivi watani wangu wahaya mlioko huko hakuna hata mmoja mwenye access na mtandao??

Hata Mathias Byabato?? Tena huyu ni member hapa, mkuu uko wapi??

Hakuna update yoyote??
 
nilisoma uzi kuwa hukumu ya biharamulo ilianza kusomwa saa 7 mchana lakini sikupata majibu isipokuwa kutoka kwa mujunu mjani
 
kama yeye ni mtafiti,bora aende kuhudumia jamii ili vijana wetu waendelee kupata material yake na kuleta ufanisi.kwenye siasa anafuata nini?(ubunge) anaaibisha taaluma yake.
 
Hukumu imeanza kusomwa.........kwa mujibu wa mhabarishaji wangu ni kuwa wako ndani hukumu inaendelea kusomwa. Watu ni wengi na kuna ulinzi mkali. Naambiwa kila mtu na kambi yake wanashangilia. CCM wanashangilia na CDM wanashangilia. Sasa sijui mshindi atakuwa nani. Nawasiliana na chanzo changu hicho cha habari na nimekiomba ridhaa yake ili niwatumie namba yake ili kila mwenye kiu ya kujua ampigie moja kwa moja. Angalizo....ni mwananchi wa kawaida hajui ma english yenu kwa hiyo muulize nani kashinda au hali ya usalama ikoje. Stay tuned.

Tunashukuru kwa kutujulisha hilo maana hatuna amani hap kijiweni hadi tupate matokeo kamili tujue tunalia tena au tunfurahia tena.
 
Bado hukumu inasomwa tu sasa cha kuwasaidia naweka namba ya simu hapa ya bwana clement yuko Mahakamani Biharamulo............ni noma citizen msimuulize ma kizungu nyie ulizeni mshindi ni nani

+255763 633134
 
Namba ni hiyo (+255763 633134) huyu bwana yuko mahakamani ni mwananchi wa kawaida aliyechoka kama mimi...........
 
Mkuu kama yupo mahakamani endelea tu kuwasiliana nae wewe utujuze kinachoendelea ukitoa hiyo no kila mtu akimpigia kwa hakika atazima simu......

Mkuu niko ofisini kazi nashindwa kuifanya...kila mara naamka amka na niko nafacilitate kitu hapa sasa karibia nawaboa ninaowafundisha. Kila mara nawaombe pole labda ngoja nibadili strategy
 
There you are Ta Muganyizi............leta mambo sasa!!!:couch2:
 
Bado hukumu inasomwa tu sasa cha kuwasaidia naweka namba ya simu hapa ya bwana clement yuko Mahakamani Biharamulo............ni noma citizen msimuulize ma kizungu nyie ulizeni mshindi ni nani

+255763 633134

Tunashukuru kwa namba mkuu, lakini ni vizuri ukatuwekea maamuzi yatayotolewa hapo
 
Bado hukumu inasomwa tu sasa cha kuwasaidia naweka namba ya simu hapa ya bwana clement yuko Mahakamani Biharamulo............ni noma citizen msimuulize ma kizungu nyie ulizeni mshindi ni nani

+255763 633134

shemeji upo JUU. tupe mavi2z!
 
Habari za uhakika Hukumu imeanza kusomwa saa tisa Alasri na si saa saba!
 
Bado hukumu inasomwa tu sasa cha kuwasaidia naweka namba ya simu hapa ya bwana clement yuko Mahakamani Biharamulo............ni noma citizen msimuulize ma kizungu nyie ulizeni mshindi ni nani

+255763 633134
Hajui kizungu au hajui kiswahili??
yani tusimuulize kitu kingine zaidi ya "Mshindi ni nani??"
Naona huyu kiswahili atakuwa badobado huyu!!

:A S wink::wink2::msela:
 
Tusilaumu sana huenda net ikawa inazingua si unajua tena coverage ya b'mulo!
*

Coverage ya biharamulo ni excellent kabisa ila kesi inaendeshwewa Bukoba mjini kwa hiyo hata wana Biharamulo Wanaisubiria vivyo hivyo kama sisi hapa!
 
Bado hukumu inasomwa tu sasa cha kuwasaidia naweka namba ya simu hapa ya bwana clement yuko Mahakamani Biharamulo............ni noma citizen msimuulize ma kizungu nyie ulizeni mshindi ni nani

+255763 633134


Namba yenyewe haipatikani Muganyizi!
(Nafikiri ilikuwa ni mambo ya mtandao tu kwn nimejaribu mara ya tano na nikampata na amesema bado hayajasomwa tu.)
 
Hivi Bukoba wanafahamu kama kuna kitu kinaitwa Jamiiforums (hata Ta Muganyizi nshashtukia hayupo huko)
 
Hajui kizungu au hajui kiswahili??
yani tusimuulize kitu kingine zaidi ya "Mshindi ni nani??"
Naona huyu kiswahili atakuwa badobado huyu!!

:A S wink::wink2::msela:

usisahau kuwa biharamlo na rwanda ni kama pua na mdomo. watu wa kule wanajuwa ki-kagame kuliko kiswahili. leta updates.
 
Back
Top Bottom