PakavuNateleza
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 1,104
- 1,294
Wana JF,
Taarifa nilizozipata kutoka kwa mtu wangu wa karibu kutoka usa river ni kwamba Mwenyekiti wa CDM wa mji mdogo wa usa river ndugu Mbwambo ameuwawa kikatili kwa kuchinjwa na watu wasiojulikana usiku huu.
Jamani nchi hii tunaipeleka wapi?
Taarifa nilizozipata kutoka kwa mtu wangu wa karibu kutoka usa river ni kwamba Mwenyekiti wa CDM wa mji mdogo wa usa river ndugu Mbwambo ameuwawa kikatili kwa kuchinjwa na watu wasiojulikana usiku huu.
Jamani nchi hii tunaipeleka wapi?