Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,168
Simu hiyo 3310 ina internet kweli?
3310 nokia ni toleo la zamani sana,haitofautiani sana na saa ya makonyeza Kama mnazikumbuka(zilikuwa zinaitwa disco)
Simu hiyo 3310 ina internet kweli?
Hukumu inatoka leo?
jaman updates
saa kumi si ndiyo hii!?