Mkuu wanachadema huwa hawababaishi. Wabunge na viongozi wake wametulia kichwani. Kwa mfano Mh. Mnyika alipata Div. 1 point 7 form iv baada ya kupata A Tisa kwa masomo kumi hivi. Anyway waliosoma naye wana details zaidi. Bravo CDM.
Hongereni watu wa Singida Mashariki kwa kumpata M bunge Lissu,mie namshukuru MUNGU Mtwara-Mjini tumempata M bunge kilaza Murji ni tatizo kubwa kazi ya kugonga Meza tu.Ee Mungu tujalie M bunge kama Lissu sisi wana Mtwara.
Hongera sana cdm pia lissu, eh mora tusikilize nasi wa waja wako wa kigamboni,
mbunge wetu kingundulile ni kituko, hawezi kujenga hoja, akijenga hoja kwa mda mrefu husaau alipoanzia na kuanza kujichanganya. Duh dunia hii ina mambo
Halafu form 6 akapata div 3 parachu parachu ya div 4 teh teh teh! wot a genius!
Baada ya kupata 1 ya 7 akaenda wapi na akapata nini huko ni vyema kujua nasi wana jamvi ambao hatuji.Mkuu wanachadema huwa hawababaishi. Wabunge na viongozi wake wametulia kichwani. Kwa mfano Mh. Mnyika alipata Div. 1 point 7 form iv baada ya kupata A Tisa kwa masomo kumi hivi. Anyway waliosoma naye wana details zaidi. Bravo CDM.
Aliyesaini ni mbunge wa mwibara siyo wa mtwara!!
Jamaa hakuwa hata na wakili wa kumtetea, alijitetea mwenyewe na amewashinda.. Bravo Lissu
Ndiye aliyekuwa anamtetea Highness Kiwia wa Ilemera Mza!
Tatizo yule aliyeanza sio hyu aliyeonyesha mwendelezo, aliyeanza ndo alistahili hii.We ndo mautumbo ya bata kabisa..kupata div 1 ndo akili?? Na division 1 zenu mnafanya kazi mshahara laki 7..watu na hizo div 3 wana kazi za maana mshahara 6m .... Jk ana gpa ya 2.3 mbona leo rais!!
Mkuu wanachadema huwa hawababaishi. Wabunge na viongozi wake wametulia kichwani. Kwa mfano Mh. Mnyika alipata Div. 1 point 7 form iv baada ya kupata A Tisa kwa masomo kumi hivi. Anyway waliosoma naye wana details zaidi. Bravo CDM.
Hongera sana cdm pia lissu, eh mora tusikilize nasi wa waja wako wa kigamboni,
mbunge wetu kingundulile ni kituko, hawezi kujenga hoja, akijenga hoja kwa mda mrefu husaau alipoanzia na kuanza kujichanganya. Duh dunia hii ina mambo