Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Glory to GOD! Hongera Hon. Mbassah, hongera CDM! Pia ninamshukuru Jaji ambaye bila shaka alikuwa under untold pressures za magamba.
Baada ya kusema hayo napenda kubainisha msimamo wangu kuwa bado mahakama zetu si huru kama mhimili muhimu wa dola. Hawa majaji ni kwa ujasiri na uadilifu wao binafsi wamefikia kutoa maamuzi ya haki.
Ikumbukwe kesi hizi 14 dhidi ya CDM (kati ya majimbo 23) zilifunguliwa na magamba kwa ushauri wa Makamba Snr, lakini kimsingi zote zilipaswa kutupiliwa mbali at preliminary levels. So zinaongeza mzigo wa gharama kwa Taifa, lakini kwa vile magamba wameamua twende kwa njia hiyo sisi tuko tayari na zaidi!
Baada ya kusema hayo napenda kubainisha msimamo wangu kuwa bado mahakama zetu si huru kama mhimili muhimu wa dola. Hawa majaji ni kwa ujasiri na uadilifu wao binafsi wamefikia kutoa maamuzi ya haki.
Ikumbukwe kesi hizi 14 dhidi ya CDM (kati ya majimbo 23) zilifunguliwa na magamba kwa ushauri wa Makamba Snr, lakini kimsingi zote zilipaswa kutupiliwa mbali at preliminary levels. So zinaongeza mzigo wa gharama kwa Taifa, lakini kwa vile magamba wameamua twende kwa njia hiyo sisi tuko tayari na zaidi!