Imekuwaje mpaka muda wa kusoma hukumu ukabadilishwa?Nimefanikiwa kuongea kwa simu na ndugu yangu aliyepo maeneo ya kortini, amesema wameambiwa kuwa muda umesogezwa mbele hadi saa 10 jioni ndipo hukumu itaanza kusomwa. Hana details zaidi. Lets wait.
huyu hakimu ameshapewa senene nini?
Ngoja nizime pc sasa.nitarudi baadae.Nina majukumu mengine.Endeleeni kufuatilia kinachojiri.
mimi betri ya nokia3310 yangu inaisha chaji. cjuwi nifanyajege?
Sasa ubunge na utafiti wapi na wapi?? kama ni mtafiti si aendelee kufanya utafiti ili matokea ya research zake yatumike kusaidia wananchi! au bila ubunge mtu huwezi kufanya utafiti? Kazi ya utafiti inahitaji muda na umakini sana hivo kwa kumnyima ubunge walimsaidia sana aweze kujiimarisha kwenye taaluma yake!! wewe ni gamba humu Jf halafu post zako hazina kichwa wala miguu mfano unasema alionewa?? alionewaje??kama anatisha kwenye fani yake aendelee kutisha anakimbilia ubunge wa nini??hebu tupia paper yake hata moja aliyowahi kupublish ili kuthibitisha usemi wako!![/QUOTE
OSOKONI
hata mbasa ni Daktari mara ngapi tunalalamika tunao upungufu wa watu wa taaluma yke au kwa vile in CHADEMA? haki ya mtu mpeni tuu jamani
Hata mleta hoja amekimbia, hii siyo kawaida, au anatumia kasimu