Hukumu ya Kesi ya Uchaguzi Biharamulo

Nimefanikiwa kuongea kwa simu na ndugu yangu aliyepo maeneo ya kortini, amesema wameambiwa kuwa muda umesogezwa mbele hadi saa 10 jioni ndipo hukumu itaanza kusomwa. Hana details zaidi. Lets wait.
Imekuwaje mpaka muda wa kusoma hukumu ukabadilishwa?
 
Vuteni subira kidogo makamanda, tutapata yaliyojiri mda si mrefu, ukombozi hauji faster faster, pigeni moyo konde na hakika tutasinda, ijapokuwa itachukua muda kidogo
 
aaah jamani mbona wanakua na masihara mambo ya msingi?kusoma hukumu ndo imekua siasa kiasi hiki?? mlipanga saa tano..mkabadili saa tisa nw mnasema saa kumi..hivi kuna nini kizito hapo kinachofanya wabadili muda?kama alikua hajakamilisha kuandika hukumu nani alimwambia atangaze leo ndo hukumu???nashindwa kuelewa kinachoendelea...
 
huyu hakimu ameshapewa senene nini?

senene. wale wadudu bana nakumbuka vile nilikuwa najidakshia enz za utoto. kama leo dar imenyesha namna hii ingekuwa mwendo wa senene tu. kuna wa kijani ambao ni ngumu kuwadaka kwa vile wanafanana na majani, hafu wapo wengine wana rangi kama khaki hivi. dah, nakumbuka mbali xana.
 
Sasa ubunge na utafiti wapi na wapi?? kama ni mtafiti si aendelee kufanya utafiti ili matokea ya research zake yatumike kusaidia wananchi! au bila ubunge mtu huwezi kufanya utafiti? Kazi ya utafiti inahitaji muda na umakini sana hivo kwa kumnyima ubunge walimsaidia sana aweze kujiimarisha kwenye taaluma yake!! wewe ni gamba humu Jf halafu post zako hazina kichwa wala miguu mfano unasema alionewa?? alionewaje??kama anatisha kwenye fani yake aendelee kutisha anakimbilia ubunge wa nini??hebu tupia paper yake hata moja aliyowahi kupublish ili kuthibitisha usemi wako!![/QUOTE

OSOKONI
hata mbasa ni Daktari mara ngapi tunalalamika tunao upungufu wa watu wa taaluma yke au kwa vile in CHADEMA? haki ya mtu mpeni tuu jamani
 
Back
Top Bottom