Recent content by nnyenya

  1. N

    Lissu: Namuombea Rais Magufuli apone arejee katika kazi yake. Ubaya haulipwi kwa ubaya bali kwa wema

    Wewe ndo ujitathimini. Usikurupuke ukitafakari deep maelezo yangu ndo utaelewa kati ya mimi na wewe nani punguani.
  2. N

    Lissu: Namuombea Rais Magufuli apone arejee katika kazi yake. Ubaya haulipwi kwa ubaya bali kwa wema

    Hujajibu hoja ya mjumbe. Kwa mantiki yako tuwe tunaamini lolote pasi taarifa rasmi? Kukatishwa kwa ziara si lazima uwe ugonjwa. Hoja ni kwamba watanzania twapaswa kujuzwa kama kweli anaumwa na sababu rasmi za kukatishwa kwa ziara. why mtu wa ughaibuni ajue hali ya Raisi na watanzania wa tukuyu...
  3. N

    Dalili kumi kuwa unaweza kufa kesho

    Tukuyu kwetu bwana hii sayansi inadhihilishwa hivi yaani wewe ukasikia tu mafufuma au ngwitwa hayo ni aina ya mabundi usiku nje kwako iwe batini au kwenye mti jirani yako basi jua kesho tunazika mtu.
  4. N

    iPhone 11... kuvunja rekodi?

    Dah mkuu umetutea wengi sana
  5. N

    Haya wazee wa kazi, njooni mjionee

    Mkuu hiyo bei ni sahihi?
  6. N

    Maswali kuntu kuhusu uchawi

    Hapa ndipo napata shida kwamba kuna dhambi kubwa na ndogo? Na je nini kipimo cha dhambi?
  7. N

    Huyu Faizafoxy atakuwa ni mmama, mdada au mbibi? Navutiwa naye sana!

    Mimi huwa napenda tu akiandika "Shule mlienda kusomea ujinga?!"
  8. N

    Sitaki tena ajira Bandari

    Nimecheka sana mkuu
  9. N

    Mpangilio wa viatu ndani ya nyumba

    Hata kama mkuu huo mpangilio haupo peponi ni hapa hapa duniani
  10. N

    Mpangilio wa viatu ndani ya nyumba

    Dah watu mnaishi jamani naangalia kwangu hapa hiyo nafasi ni madumu ya maji na jaba ndo yamepangwa uzuuri kabisaa.
  11. N

    Wakati sakata la Ndege halijakwisha, Symbion Power wameleta RB

    Wasi wasi wangu hawa mabeberu zikiisha mali zetu kwa kuzikamata wasije hamia kukamata dada zetu wa Kitanzania.
  12. N

    Shirika la BIMA Tanzania ni wababaishaji kwa 100%

    Wezi hawa. Ila sasa wanapo kuja kujinadi waweza sema ni watu wa maana
Back
Top Bottom