Nani kwamba bandari saivi wamefanya maajabu, hamna alobebwa mpaka watu wanashangaa, mi mwenyewe nliitwa na bandarini simjui mtu na so mimi tu, wengine walikua 48, kaitwa mmoja hajui mtu.
Yaani ata mkurugenzi anadai hawezi ingiza mtu yeyote ata kama ni mtoto wa rais anadai yko tiari ateme kazi, ila saivi kulkua hamna kubebana yaani kukaza kwako tu, watu tumeitwa wengi na wengine wamo umu nawajua, tumejuana tangu kazi zimetangazwa.
Acha kupotosha mzee, kila tu ilkua fair, wapo jamaa zangu hawajaitwa, kuna kada walikua wanajumlisha alama na za usaili wengine walkua hawajumlish kama mlofanya written walikua hawajumlishi sa kama ulifel bas ulifel utumishi, ila saiv wamefanya maajabu, mpaka wenyewe wanasema