Recent content by Nipohaitena

  1. N

    Usafiri kwenda Loliondo kwa Babu

    Ndugu wanachama wa jf. Napenda kuwajulisha kuhusu huduma ya usafiri kwenda Loliondo kwa Babu. gharama zetu ni nafuu sana. Gari lenye uwezo wa kubeba abiria 8 pamoja na Dereva. Gari zina air condition na zimeongezwa uimara kwa mazingira hivyo kukuhakikishia safari ya uhakika. safari inaweza...
  2. N

    The West Policy on Libya Vs Putin

    na SI VILE SISI TUNATAKA.
  3. N

    The West Policy on Libya Vs Putin

    Tunapokuwa watu wa TAFAKURI TUKUKA tunapaswa kutambua kwamba kuna taratibu hasi na chanya ktk kuongoza dunia. na ktk kutambua hilo tunapaswa pia kujua kuwa ktk uongozi kuna kiranja mkuu. huyu kiranja mkuu atahakikisha hatokei mwingine atakayekuwa au atakaye mfikia ktk kutoa maamuzi. baada ya USA...
  4. N

    Mambo ya kwa Babu LOLIONDO

    kwa siku ana uwezo wa kuhudumia gari mia 8 au elfu 1. kila gari lina wagonjwa 7, hapo ni nje ya wanaokuja kwa mguu. hesabu yaweza fika lkn hapa tunazungumzia kazi ya kanisa (imani). sasa kubenea atueleze serikali huchukua kodi kiasi gani toka makanisani.
  5. N

    Zitto, imetosha sasa

    Mh. mzito yuko sawa kwa maana ya kuondoa tatizo sugu la umeme tz. na nssf ni sawa kupewa mradi wa kiwira lkn iwe kitu cha kweli. kama kiwira ina mgogoro waende steagler gouge watupe umeme wa uhakika. wakati uganda wanajitayarisha kuchimba mafuta sisi tunashindana jinsi ya kuiba rasilimali za...
  6. N

    Wassira on ITV (kipindi maalum)

    chama cha mafisadi kimefisadi hadi akili ya viongozi wanachama wake?
  7. N

    The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

    al jazeera ipo mara 2. ile iliyokuwa maarufu kipindi cha vita ilinunuliwa na wamarekani. ikawa copy and paste ya cnn. na kuna al jazeera nyingine lkn haipati uwezo wa kurusha dunia nzima. ukiacha hayo twapaswa tambua vita ni propaganda. haya mabadiliko yanatokea mashariki ya kati ni vita kama...
  8. N

    Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

    napenda kuwaambia watz waache kuhoji ukweli bali wachukue ndugu zao waliothibitika na ugonjwa wowote aende na atapata jibu ndani ya siku 7. ni vile hatukumbuki kuwa MITI NA MIMEA ni TIBA. Huyu Mzee hafanyi miujiza bali anatibu KIUKWELI KWELI. TEMBO ndiye mnyama pekee asiyepatwa na MAGONJWA ya...
  9. N

    Tujadili Kiukweli (Wanaume tu)

    Watanzania mnazidi kuwa wapumbavu. na kama hakujali kiasi hicho hakufai. hakuna jinsi tutakuwa endelevu kwa tamaduni hizi ngeni kwetu. kumbukeni kwamba tamaduni zetu wote waafrika zinatupa umuhimu wa Mwanamk
  10. N

    Je, ni kweli wasichana waathirika wa vvu wamesambazwa vyuo vikuu vyote nchini?

    hii ni kweli na amefanya vema, na ikiwa anatumia kodi zetu pia si tatizo. kwani hao wanafunzi pia ni watz. kama anatumia hela za wafadhili pia si tatizo. na jinsi alivyo wapata ni jambo jingine ambalo atapaswa kujibu.
  11. N

    Zantel msitafute mchawi

    pia wapaswa nunua line ya CDMA, hii ni kwa ajili ya internet tuu. ukitumia line ya GSM ndiyo matatito kama hayo yanatokea. wao zantel watakuchukulia ni mtumiaji wa simu na internet na ndiyo maana wamefanya hivyo. HUU NI MTAZAMO WANGU KUTOKANA NA UZOEFU NA HAWA ISP.
  12. N

    how to unlock a flash disc

    please IT's help on how to unlock a locked flash disc. it shows files in but can't add any file. and its not full. used is only 2% of 4gb.
  13. N

    Kupanda kwa bei ya bia

    mbona mbege hamuitaji? tatizo uzalishaji wa ndizi unazidi kudidimia. wananchi wanapaswa kujua somo la ujasiriamali.
  14. N

    Love the pictures! African touch!

    pure leather
  15. N

    Hii Sanamu inaheshimiwa sana na Jamii Fulani toka Kabila moja hapa Tanzania

    ukweli ni wachaga wanaotokea uru ndiyo walio tupa vyakula na kukimbia. ilitokea kipindi sanamu ilipowekwa, na si sanamu hii ionekanayo sasa bali ile ya zamani. na kwa kipindi kile baada ya vita, yeyote angekutana nayo angeweweseka. sababu ilikuwa ni vita vilivyokwisha na uganda.
Back
Top Bottom