Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
duh inaonekana dunia yote iko Moshi, sio mchezo naona tu majina makubwa makubwa toka west hadi mashariki ya mbali.
Una uhakika tuna shida?Karibu kwetu Jamuhuri ya Kidemokrasia ya watu wa Rombo,au tembelea U.K means Uru Kishumundu au nenda ukanda wa gaza (Palestina)Machame au Jews state of Kibosho au marangu U.S.A ndo ujue kama kweli tuna shida.