Jamani ebu acheni kumuonea kijana wa watu,Nape Moses N nimesoma naye na tukamiliza wote kidato cha nne 1997 shule ya sekondari Nsumba japo ni kweli kuwa alihamia sijui alikotokea na alikuwa mlokole sana, kiongozi wetu wa darasa la kidato cha nne C. Matokeo yake ya kidato cha nne hayakuwa mabaya...
Jamani ni kweli NAPE MOSES NAUYE ALIHAMIA NSUMBA sekondari tulimaliza naye kidato cha nne mwaka 1997 alikuwa ni monita wetu mkondo wa kidato cha nne c,matokeo ya kidato cha nne hakupata daraja la nne la 29 bali alipata daraja la pili point 18 iliyomfanya achaguliwe kuingia kidato cha tano Mwenge...
Po Box 1696 Dodoma, email info@mri.ac.tz maombi yanaanza kutolewa mwezi Februari hadi Mei kila mwaka.Form za kujiunga huwa zinapatikana ofisi zote za madini kanda zote Tanzania na Wizarani kwenyewe.Na chuo Cha Madini si sehemu ya UDOM kama mmoja alivyosema ilishindikana kuunganishwa hivyo...
Nilidhani wanasura kama Tyson ningeenda mahakamani kupinga! Kumbe siyo hivyo sasa hakuna kurudi nyuma mbele DAIMA HAKUNA CHA NEC WALA NINI wasubiri 2015 nitakuwa kijijini kwetu kuhamasisha nakuelimisha CCM wasichagulike maana ni WIZI MTUPU!!!!
Asante Mungu kwa kuanza kusikia kilio chetu cha muda mrefu, fanya hivyo hivyo kwa mikoa yote ya Tanzania kama jiji la Arusha ili ukombozi wa Taifa hili lenye utajiri mwingi likombolewe toka kwa wajanja wachache wanaonufaika nao na kuandaa mazingira ya kujinufaisha wao na familia zao,pamoja na...
Katiba mpya itamke wazi kwamba watoto wote wa viongozi wote wasome shule za serikali na si vinginevyo,wajinga hawa maana wanaweka watoto wetu kama katuni vile ili baadaye watutawale.
1.Wabunge kama de comedy-David Katundu Jairo
2.Hata mwenyekiti wa CCM ,ALIFAHAMU KILA HATUA iliyopitiwa juu ya Mkataba na Richmond na nilitaka kusitisha mkataba nao ndipo aliponipigia simu na kunikataza-EL.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.