Recent content by Nhundu

  1. N

    Elimu ya Nape Nnauye

    Jamani ebu acheni kumuonea kijana wa watu,Nape Moses N nimesoma naye na tukamiliza wote kidato cha nne 1997 shule ya sekondari Nsumba japo ni kweli kuwa alihamia sijui alikotokea na alikuwa mlokole sana, kiongozi wetu wa darasa la kidato cha nne C. Matokeo yake ya kidato cha nne hayakuwa mabaya...
  2. N

    Elimu ya Nape Nnauye

    Jamani ni kweli NAPE MOSES NAUYE ALIHAMIA NSUMBA sekondari tulimaliza naye kidato cha nne mwaka 1997 alikuwa ni monita wetu mkondo wa kidato cha nne c,matokeo ya kidato cha nne hakupata daraja la nne la 29 bali alipata daraja la pili point 18 iliyomfanya achaguliwe kuingia kidato cha tano Mwenge...
  3. N

    Msaada details za chuo cha madini dodoma !

    Po Box 1696 Dodoma, email info@mri.ac.tz maombi yanaanza kutolewa mwezi Februari hadi Mei kila mwaka.Form za kujiunga huwa zinapatikana ofisi zote za madini kanda zote Tanzania na Wizarani kwenyewe.Na chuo Cha Madini si sehemu ya UDOM kama mmoja alivyosema ilishindikana kuunganishwa hivyo...
  4. N

    Kikwete: Uvumilivu sasa basi...

    Katika kipindi cha uongozi wa Jk 90% ya nafasi za watumishi wakuu wa serikali ni Waislamu kwa Tanzania bara,100% Tanzania Zanzibar= Maaskofu.
  5. N

    Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

    Acha kupotosha ukweli waliofeli ni halali yao chuo hakiandai wahuni wa kubebwa kila muhula.
  6. N

    Madini kunani mbona shida kila mwaka?

    Acha kupotosha umma wa Watanzania chuo kinaandaa watalamu si wahuni, waliofeli ni halali yao.
  7. N

    Watoto wa Wasira waliojiunga CHADEMA watoa ufafanuzi juu ya uhusiano wao na Waziri Wasira

    Nilidhani wanasura kama Tyson ningeenda mahakamani kupinga! Kumbe siyo hivyo sasa hakuna kurudi nyuma mbele DAIMA HAKUNA CHA NEC WALA NINI wasubiri 2015 nitakuwa kijijini kwetu kuhamasisha nakuelimisha CCM wasichagulike maana ni WIZI MTUPU!!!!
  8. N

    mkutano wa Chadema Arusha

    Asante Mungu kwa kuanza kusikia kilio chetu cha muda mrefu, fanya hivyo hivyo kwa mikoa yote ya Tanzania kama jiji la Arusha ili ukombozi wa Taifa hili lenye utajiri mwingi likombolewe toka kwa wajanja wachache wanaonufaika nao na kuandaa mazingira ya kujinufaisha wao na familia zao,pamoja na...
  9. N

    Dk. Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusu M4C & V4C

    Dr Bana kitu gani bana?
  10. N

    Chadema someni hapa, sio mnapapatika na kukurupuka tu...

    Ujinga mtupu kalia huo ugali wako kwani unajua ugali tu kwenye hii tanzania yetu
  11. N

    Mtukufu rais wetu na huu ni uongo?

    Katiba mpya itamke wazi kwamba watoto wote wa viongozi wote wasome shule za serikali na si vinginevyo,wajinga hawa maana wanaweka watoto wetu kama katuni vile ili baadaye watutawale.
  12. N

    Jamani!natafuta kazi yoyote.

    Una sifa gani za kitaaluma?
  13. N

    Mdada anahitajika haraka

    Sikuamini
  14. N

    Kauli za viongozi wa Tanzania zenye utata!

    1.Wabunge kama de comedy-David Katundu Jairo 2.Hata mwenyekiti wa CCM ,ALIFAHAMU KILA HATUA iliyopitiwa juu ya Mkataba na Richmond na nilitaka kusitisha mkataba nao ndipo aliponipigia simu na kunikataza-EL.
Back
Top Bottom