hivi kuna watu wanajivunia kufundishwa na huyu mpumbavu au ndiyo ukiwa ccm prof hana tofauti na wa la saba..kikwete alisema chadema ni chama cha msimu leo bana anatulazimisha tukae kimya ilitukamilishe usimi wa dr dr dr dr kikwete Bana akae kimya angalie siasa ninavyotendewa haki..
CCM na serikali yake imekabwa koo, sasa inatumia vibaraka wake kuomba huruma. Aseme tu kama kuna sheria imevunjwa, vinginevyo akae kimya.
Ila CUF nao wamezidi kuiga kuliko hata mume wao CCM, walianza wote kuiga matumizi ya Helkopta, sasa leo wanaiga kuchangisha pesa(harambe), sasa mpaka V4C .
Ndiye huyu hapa, picha yake haitofautiani sana na maneno yake!
ni ngumu kuamini kama ni mhadhiri udsm, ni aibu kwake kutoa kauli za kijinga kila siku si hii tu, binafsi sijawahi msikia akiongea kitu ukahisi alieongea ni msomi ni kama vile anaflash maneno yake yanatirika kama maji taka ili kwa nje aonekane msafi sasa huko ndani?!Mtu mzma hovyo.
mh!!!!!!!!!!,ukitaka upoteze hadhi kwenye mijadala km hii ijadili cdm vibaya!,sasa uko c kulazimishana kufikiri sawa!!!
Huyu mzee si kada wa ccm mbona hasemi kauli mbiu aliyoingilia Nape ya vua gwanda uvae uzalendo ambayo haijulikani iliishia wapi
ni ngumu kuamini kama ni mhadhiri udsm, ni aibu kwake kutoa kauli za kijinga kila siku si hii tu, binafsi sijawahi msikia akiongea kitu ukahisi alieongea ni msomi ni kama vile anaflash maneno yake yanatirika kama maji taka ili kwa nje aonekane msafi sasa huko ndani?!
chadema kichwa cha wenda wazimu kweli,heshimun mawazo ya kila mtu,alichokisema bana ni sahihi kabisa,uchaguzi bado hiyo m4c ya nini? Ni upumbavu wa hali ya juu unaowasumbua nyie waroho wa madaraka na hamtafanikiwa tena labda muanzishe jamhuri ya kaskazini kama alivyosema mpuuzi wenu nassari.mlivyo mazezeta mnampiga vita hadi zitto,mtu aliyekiletea chama mvuto wa ajabu kisa siyo mchaga wala mkaskazin,kila leo mnaleta maada za akina lema,mbowe nk eti makamanda,tumuache mbowe,lema ana nini? Acheni ushamba na uonevu,mungu anawaona na nchi hamtachukua kamwe.naona chadema inapoteza mwelekeo,ushenzi ushenzi tu!