KIBOKO MSHELI
Member
- Sep 12, 2012
- 50
- 7
Ndio hizi shule alisema, zitaunganishwa na mtandao wa internet nchi nzima? kweli huyu Rais hayuko serious!
Miradi gani wanayozindua ya maana au kama ule wa Mwanza ambapo Pinda katumia zaidi ya magari 50 kwenda kuzindua mradi wa ufugaji nyuki miznga 20?............ Useless!!!Jamaa unanongwa wewe! yaani hutaki tu kukubali,nashauri JK awe anamualika mpika uongo mashughuli katika uzinduzi wa miradi.
Anataka asifiwe kwa kazi anayofanya sasa hivi ya kuzindua vichochoro ambavyo yeye anaita ni barabara
Miradi gani wanayozindua ya maana au kama ule wa Mwanza ambapo Pinda katumia zaidi ya magari 50 kwenda kuzindua mradi wa ufugaji nyuki miznga 20?............ Useless!!!
Ni picha za kusikitisha, ni vema viongozi wetu wakaacha siasa na kuelekeza nguvu ili kufikisha huduma muhimu kwa wananchi wa kawaida. Si ajabu huko kwenye shule hizo zahanati hakuna na kama ipo haina dawa au wataalam.
huwezi kujua ni kitu gani nilichoifanyia nchi hii kwa kutazama haya maandishi dogo!!.................hata hivyo ujifunze kutumia maneno mazuri, wengine humu ni wazazi wako ila muda mwingine akina Mama huwa wanafanya makosa kutowaambieni ukweli nyie watoto.wewe umeifanyia nini nchi hii tangu uzaliwe zaidi ya kujaza tu choo
Jk kaka kweli una huruma na watoto wa taifa hili kweli leo hii miaka hamsini ya uhuru bado tunaishi katika hali nhii kweli vijana wetu hawana mahali pa kusomea wanasomea kwenye mahema ya miti na bado wanasoma wakiwa wamekaa chini kweli this is too much harafu ukukosolewa unasema ya kuwa watu wana vyuo vya uongo sasa unataka wasiseme ubovu ulionao. kiukweli nimeangalia picha za wadogo zetu wa shule za msingi hali inatisha siyo nzuri hata kidogo kama unavyounda kikosi kazi basi pia unda kwa ajili ya kushughulikia suala la elimu ya watoto wa maskini
Mtanzania wa kawaida ndiye aloyasababisha haya yote!!!!Wazazi wao wamekubaliana na hali hiyo.