Recent content by NguchiroTheElde

  1. N

    Kiongozi wa dini anaposepa na rambirambi za msibani

    Kiongozi wa dini anaposepa na rambirambi za msibani Tabia mbaya ya baadhi ya viongozi wa dini ya dhehebu fulani wanapoongoza ibada ya mazishi ya muumini wao, wanakusanya rambi rambi zilizotolewa na waombolezaji na kusepa nazo. Ijapokuwa marehemu ni muumini wao hawachangii chochote kwenye rambi...
  2. N

    Fuel crisis: Serikali ifanye maamuzi magumu

    Tatizo siyo wafanyabiashara bali ni EWURA yaani serikali. Biashara ni kipaji na taaluma. Serkali haijui kufanya biashara na kamwe haitaweza kufanya biashara kwa ufanisi. Mfupa uliomshinda Nyerere Kikwete atauweza? Nyerere aliingiza serikali katika kila biashara hadi ya kusaga mahindi na kuuza...
  3. N

    Kituo cha Polisi cha Mugumu chavamiwa!

    Siyo kila anayevaa baragashia ni Mwislamu. Kwani kila anayevaa t-shirt ya New York Yankees ni mcheza baseball wa timu hiyo? Kama ni hivyo basi hawa wamezagaa nchini kote.
  4. N

    Tulikwenda kupigana msumbiji kama nani!!

    Wewe Lole Gwakisa, jibu hoja iliyoko, siyo kumzulia aliyepost hoja isiyo yake na kujitia kuijibu. Hoja ni tulienda msumbiji kama nani na siyo uwezo wa jeshi letu. Kama mwaka 1979/80 Kaboya ailtumia maneneo yaliyosemwa na Nyerere mwaka wa 1975 ni nini cha ajabu? Si unakumbuka "zidumu fikra"? Kila...
  5. N

    Wananchi wanapopiga vita wenye bidii kati yao ni janga kwa taifa

    Ndiyo maana tunapendelea nchi kuongozwa na Mmasai au Mbarbaig, siyo kwa kuwa wanajua kuchunga ngombe na kupigana na simba bali kwa kuwa wako nyuma kimaendeleo kuliko Watz wengine! Yaani kwetu Tz walio nyuma ndio mfano wa kuigwa!
  6. N

    CHADEMA na FALSAFA ZA WAARABU

    Huyo kalala au ni yale mambo yake ya kuzimia? Naona wenzake hata hawashangai, wanaona ni mambo ya kawaida tu. Kimsingi Mkuu akizimia inabidi naibu wake ashike madaraka kwani akiwa amezimia hayuko tena madarakani. Swali la kurudi madarakani kama akizinduka itabidi lijadiliwe baadaye.
  7. N

    Dr Magufuli awasha moto Dar - ofisi ya RC Lukuvi na Manager Tanroads kubomolewa!

    Liache libaki hukohuko kwani lenyewe ni li-Taliban. Linapata mdadi sana kubomoa, kurudisha nyuma maendeleo ya watu, kuwatesa na kuwazulumu haki zao. Fidia ya nyumba 60 za mjini katikati kwa shilingi 600, hiyo ni fidia au ni zuluma ya mchana kweupe. Na nyie mnaomshabikia kwa matendo hayo...
  8. N

    Wanafunzi 400 wajisaidia porini

    Wanafunzi 400 wajisaidia porini na Ambrose Wantaigwa, Tarime Tanzania Daima, 17 January 2011, pg 6. SHULE ya msingi Nyairoma iliyoko katika kata ya Sirari wilayani Tarime yenye wanafunzi zaidi ya 400 inakabiliwa na upungufu wa vyoo na kusababisha wanafunzi kujisaidia porini...
  9. N

    GE2010 CHADEMA yapotelewa na mmoja wao

    Hao mashushushu walioko ndani ya Chadema unafikiri wameagizwa kufanya kazi gani?
  10. N

    Pinda hastahili kuwa PM, si mbunge wa kuchaguliwa

    Katika Tanzania hii Rais hawezi kumteua waziri mkuu mtu aliyemzidi kwa akili na utendaji (competence).
  11. N

    GE2010 Kuiba kura, kuchakachua matokeo ya uchaguzi ni UHAINI

    Kuiba kura, kuchakachua matokeo ya uchaguzi ni kitendo cha uhaini kwani ni sawa na kupindua serikali. Serikali halali inachaguliwa na wananchi halafu vibosile vichache vinakaa na kula njama na kuamua kucheza na hizo namba ili aliyeshindwa aonekane kashinda na aliyeshinda aonekane kashindwa. Hilo...
  12. N

    GE2010 NEC toeni majina ya wapigakura tuyaone kwenye mtandao

    Excellent idea. NEC ina majina yote kwenye kompyuta na ni kiasi tu cha kuyaweka kwenye website yao kama hawaogopi kuwa uchakachuaji wao utabainika. Tatizo la wapiga kura kukosa majina yao katika maeneo waliojiandikisha ni kubwa na ni makusudi kwani mchezo wa kuwapa "mabakia ya wajumbe wa CCM wa...
  13. N

    GE2010 Lula da Silva, Rais wa Brazil aliyesoma hadi darasa la 4 tu.

    Lula da Silva, Rais wa Brazil aliyesoma hadi darasa la 4 tu. Luiz Inácio Lula da Silva was born 6 October 1945. Known popularly as Lula he is the thirty-fifth and current President of Brazil. A founding member of the Workers' Party (PT – Partido dos Trabalhadores), he ran for President...
  14. N

    GE2010 CCM Irudishe Hela Iliyokusanya kutoka kwa Wanafunzi kwa Kutumia TCU

    CCM Irudishe Hela Iliyokusanya kutoka kwa Wanafunzi kwa Kutumia TCU Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu jinsi TCU ilivyokusanya mabilioni ya fedha kutoka kwa wanafunzi na madai kuwa fedha hizo zimeenda kugharamia kampeni za uchaguzi za CCM kinyume na sheria. Utumiaji wa TCU kunyanganya vyuo...
  15. N

    Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) yaanza kutoa orodha ya waliochaguliwa kwenda Vyuo Vikuu

    Yaani, these people are completely INCOMPETENT. They cannot even present a list of names properly much less on time. Their graduate degrees ought to be MI, that is Master of Incompetence. I hear that some of these professors have fake PhDs just like a good number of their fellows in politics. To...
Back
Top Bottom