Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
Wakati zimebaki takribani siku 26 hivi, NEC itoe majina ya watu wanao tarajia kupiga kura ili kila mtu siku ya kupiga kura ajipange kwenye eneo sahihi ili kuokoa kupoteza muda.
Hakuna haja ya kubandika majina badala yake yawekwe kwenye mtandao kila mtu ajione atakuwa kituo gani na eneo gani. Mfano, Kinondoni - manyanya C, au Mwenge stendi, G.
Wadau mnasemaj kupunguza usumbufu wakati wa zoezi la kura?
Hakuna haja ya kubandika majina badala yake yawekwe kwenye mtandao kila mtu ajione atakuwa kituo gani na eneo gani. Mfano, Kinondoni - manyanya C, au Mwenge stendi, G.
Wadau mnasemaj kupunguza usumbufu wakati wa zoezi la kura?