EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Salim aliteuliwa kuwa mbunge na Nyerere kabla ya kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu hakuwa mbunge wa kuchaguliwa.
Mbona hiyo ilikuwa zamani sana. Uko nyuma sana mkuu. Katiba inasema "....Rais atamteua Mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi anayetokana na chama cha siasa chenye Wabunge wengi zaidi Bungeni..." Sasa wakati wa Nyerere kulikuwa na vyama vingapi vya siasa?