Benki inaonekana zilitegemea fedha za taasisi za serikali, na sio za wananchi wa kawaida. No wonder wakiambiwa kupunguza riba walikiwa hawasikilizi JK anasema nn
Joto kali linalotolewa na injini za ndege linapokutana na baridi kali iliyopo huko juu, funua kifuniko kilichoziba kitu kichemkacho utaona kitu hicho uitacho moshi, ikiwa na injini 2 ugaona miatari miwili, zikiwa 4 utaona mi4.
Wafanyakazi wa serikali co wote wanywaji pombe. Wafanyakazi wa serikali wengi wao wanakunywa kwa bajeti, mishahara yao wameikopea, wafanyabiashara na hao wa taasisi zinazojitegemea ndo wanyweshaji wazuri wa watumishi wengine
Kwanini kila kitu unajipa negative attitude, watu wanasema ndoa ngumu, lkn bado zinafanyika, Singapore walibezwa lkn ni 1st world, jifunze positive response na thinking. Na hapo ulipo najua unasifia Rwanda kufanya vzr, ila kwako hutaki kukubali km utafika. Unajua kuwa ruvu juu na xhini kuna...
#Zillahender upo sahihi, lkn usisahau pia kuwa uchumi wa kwanza duniani kuna watu hawana makazi, ombaomba, wanalalamikia ujira mdogo, kuwa uchumi wa kati ama wa kwanza haimaanishi wananchi wote wanakuwa nao. Na nahisi kuna mambo mengi huyajui vzr. Tasaf mpango wa kaya maaikini umeanza zamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.