Recent content by ngosha1200

  1. N

    Ukitaka kumtosa mwanaume mpige kizinga tu

    Say, unapiga kizinga, anatoa, anaendelea kusumbua, what next?
  2. N

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Ukisema ikulipe mida mfupi, ni mida gani huo. Mawazo ya watu ushayapata, lkn la mida fafanua.
  3. N

    Naomba Ushauri: Kati ya BMW 3 Series 2006 model na Subaru Legacy B4 Sports 2006 model

    Go for a Subie, reliability ya BMW haijawai kuexceed expectation, hy 3 series speed haiwezi fikia b4
  4. N

    TTCL 4G siyo ya Mchezo Mchezo...!!!!!

    TOyota crown ina 180kph, passo nayo 180kph. Bei ziko sawa? Zote zinafika 180kph kwa muda uleule?
  5. N

    ITV na CHADEMA

    Kwake ajali ni angekufa Sugu
  6. N

    Wabongo tumekichafua Insta.. Picha ya Miss TZ ina Comments nyingi kuliko followers

    Inawezekana kulike picha ya mtu ambaye haumfuati na kukomenti pia, inawezekana ww tu hauna huo utaalam
  7. N

    Tamko la walimu wa sanaa waliokua wanaosubiri ajira mpya.

    Vikundi vyote vya sanaa mzee c ukajitolee kuwafundisha, au vijana wafundishe mtaani kwako
  8. N

    Nyumba yake yapigwa mnada baada ya kushindwa kulipa deni la benki

    Yeye ndo anailipa benki, unachukua kilichozidi wanampa pepa zk
  9. N

    DODOMA: Wanachuo wadaiwa kujiuza kwa kutumia picha

    Umewasaidia kutangaza biashara zao, nasi tukienda Dodoma tutafatilia
  10. N

    Rais Magufuli: Niliivunja Bodi ya TRA baada ya kuidhinisha mabilioni ya pesa kwenda benki binafsi

    Benki inaonekana zilitegemea fedha za taasisi za serikali, na sio za wananchi wa kawaida. No wonder wakiambiwa kupunguza riba walikiwa hawasikilizi JK anasema nn
  11. N

    Kwanini Ndege(Roketi/Contrail) huacha mstari wa Moshi Mweupe?

    Joto kali linalotolewa na injini za ndege linapokutana na baridi kali iliyopo huko juu, funua kifuniko kilichoziba kitu kichemkacho utaona kitu hicho uitacho moshi, ikiwa na injini 2 ugaona miatari miwili, zikiwa 4 utaona mi4.
  12. N

    Naliona anguko la makampuni ya bia na biashara zinazotegemea uuzaji wa bia na aina zote za vilevi

    Wafanyakazi wa serikali co wote wanywaji pombe. Wafanyakazi wa serikali wengi wao wanakunywa kwa bajeti, mishahara yao wameikopea, wafanyabiashara na hao wa taasisi zinazojitegemea ndo wanyweshaji wazuri wa watumishi wengine
  13. N

    Yametimia: Ugumu wa maisha umeanza kujitokeza

    Kwanini kila kitu unajipa negative attitude, watu wanasema ndoa ngumu, lkn bado zinafanyika, Singapore walibezwa lkn ni 1st world, jifunze positive response na thinking. Na hapo ulipo najua unasifia Rwanda kufanya vzr, ila kwako hutaki kukubali km utafika. Unajua kuwa ruvu juu na xhini kuna...
  14. N

    Tujiandae kwa uchumi wa kati halisi

    #Zillahender upo sahihi, lkn usisahau pia kuwa uchumi wa kwanza duniani kuna watu hawana makazi, ombaomba, wanalalamikia ujira mdogo, kuwa uchumi wa kati ama wa kwanza haimaanishi wananchi wote wanakuwa nao. Na nahisi kuna mambo mengi huyajui vzr. Tasaf mpango wa kaya maaikini umeanza zamani...
Back
Top Bottom